AKILI KIJIKO
JF-Expert Member
- Aug 26, 2016
- 405
- 589
- Thread starter
-
- #41
Nimemtolea mahari lakini haya yote nimegundua ndani ya mwaka huu tu sitaki kukimbilia haraka Kwa wazazi au wazee maaana najua huko ataomba msamaha halafu wazee watatuacha na changamoto zitaendelea, binafsi nataka kumuacha lakini natamani kupata njia sahihi zaidi sitaki kukurupuka nikaja kujutiaKama Lengo la safari yenu ni kufika uzeeni kulea wajukuu? Basi endelea.
Pia sio mke wako ila mmezaa pamoja, kama ungemtolea mahari usingetaka ushauri huku.
Sema hapo umekalia kuti kazi mama watoto kama Danga flan.
Kwa sababu mna mtoto we usimwache tafuta pesa ongeza mke mwingine.
Asante Sana Dadangu umenishauri kitu Cha msingi sana nitakifanyia kaziUsiwasikilize wataokwambia muache, wanawake wote tunalipa visasi, Ila Kwa Siri....tatizo mkeo alitoroka mkoleni.
Kingine nyie mnapendana, Kama kweli unataka kumbadilisha, badilika wewe, Acha kuchat chat hovyo na wanawake, Jenga Imani ulioibomoa kwake.....upuuzi wako Fanya Kwa Siri sana asijue, wanawake hatupendi dharau.
Sawa mkuu Asante sanaMkuu, jitathmini tena kama mwanaume!
Hujakosea mkuu ndio humo humoUsiombe kuwa na mke
Mwalimu
Nurse
Polisi
Mhasibu
Mkaguzi Elimu
Mjeda
Usiwasikilize wataokwambia muache, wanawake wote tunalipa visasi, Ila Kwa Siri....tatizo mkeo alitoroka mkoleni.
Kingine nyie mnapendana, Kama kweli unataka kumbadilisha, badilika wewe, Acha kuchat chat hovyo na wanawake, Jenga Imani ulioibomoa kwake.....upuuzi wako Fanya Kwa Siri sana asijue, wanawake hatupendi dharau.
Asante Sana Dadangu umenishauri kitu Cha msingi sana nitakifanyia kazi
dronedrakeKATAA NDOA NDOA NI.......oya mwamba njoo malizia usemi wako
Sawa Kaka nimekupatakuna paraghraph nimefika nikaona siwezi kuendelea kusoma huu ujinga!
mliomaliza kusoma sijui mmewezaje
Tatizo Mie msema kweli mpenzi wa Mungu🤣 Afu ukweli una tabia ya kuchoma🤣Ushalewa unaanza kutoa siri zetu [emoji23][emoji23][emoji23]
Utasababisha ndoa za watu zivunjike mama K
Unajua wanaume hawajui km wanawake wanalipiza ila bila kukutwa na bwana Pepsi?!
Ushawasanua tutarajie nyuzi nyingi huu mwezi [emoji23][emoji23][emoji23]
Mapenz buana mm sina wivu kivile ila napenda visasi piah nikihs umecheat woo natafut dem na mm
Daaah sasa nitaacha wangapi mkuu Asante Kwa ushauri naufanyia kaziHamjaoana kinakushinda nn kutema bungo au unadhani utapata ladha ya embe endelea na ujinga ezra anakula mzigo ww unahahamaa kama zezeta
Yaweza kuwa kweli hataivo sijaoa Bado Bado ninanafasi ya kufanya maamuzi ninachotaka ni kufanya maamuzi sahihiPole..umeolea wana. Mwenzio alikua anatafuta sababu ya kuchepuka kaipata