Wanaume wengi wanateswa na wanawake wa aina hii lakini wanaumia ndani kwa ndani matokeo yake kupelekea maafa

Jamaa alibipu my wake akapiga..aki kuna watu hawataniwi kwenye haya maisha[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
W
We jamaa ulivyoanza kuandika nilijua una akili kumbe nu debe tupu.

Nyie ndio mnavunja moyo vijana waanze kuona Ndoa ni Utapeli, ndoa ni wizi na ndoa ni Kifo.

Unaendeshwa na Mwanamke?
Unapata ujasiri wapi wa kulala na Mke ambaye unajua fika kaliwa na Mwanaume mwingine?
 

Tutakuvua uwanachama [emoji23][emoji23][emoji23]
Wake za watu wanaongoza kwa kuchepuka na ukimuuliza anakwambia nalipa kisasi nipate amani ya moyo. Na walivyo wajinga wanachepuka na watu wa hovyo [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ndio km hao kina Ezra

Mwanamke akimfumania me lazima atalipiza ila hili me wetu hawajui!!! [emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Na wewe kunywa pombe kistaarabu acha kutoa siri za kambi
 
Asante Sana naomba radhi Kwa kutohudhurua hivyo vikao vya kiumeni pengine haya yote yasingenikuta nitazingatia Hilo kuanzia Leo, umetisha Sana bro
 
Siwezi kumfumania Mke wangu nikaendelea kubembeleza.

Kutokana wanawake ni wajanja kuliko wanaume. Sema sisi wanaume tunakaza Fuvu tu kwamba tunawazidi uwezo ila sio kweli.

Mfano ni huyu jamaa mleta Thread anaonekana anapuyanga sana alikutana na Mtoto wa Mjini na anamwendesha hatari
 
Asante lakini sikujua kama nikichart na rafiki zangu sitakiwi kuwa charming
 

Ahsanteeeeeeeee!! Ongeza sauti [emoji23][emoji23][emoji23]

Wanaume ni vile tunawaheshimu ila sisi tunauweza umafia wa kuchepuka nyie hamsogei ndiomana tunawapa mpk mitoto sio yenu na hamna cha kutufanya. [emoji2222][emoji2222][emoji2222]
 
Mwanamke uwe mjanja ukipigwa

Mume wako asijue kamwe.

Kitendo cha kuruhusu Loophole ya kujulikana ni dharau kwa mume wako.

Hao wageni wa kuchepuka [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Warudi mkoleni, ukiwa unachepuka mume anatakiwa apewe mahaba mpk ajihisi yeye kashikilia uhai wako kumbe nyuma unaling’onga kisogo.
 
Unaniogopesha shem
 
Ulivyowekeza anza kuuza taratibu fungua akaunti ya siri anayoijua mama yako tu. Vikibaki nusu ya mali mpige chini kama ataenda mahakamani mtagawana vilivyobaki... tafuta mtu atakayekupa furaha na siyo visasi...

Wanawake wazuri wapo wengi wenye tabia njema. Tafuta watu wastaarabu wakupointie wadada au akutafutie mwanamke unayeendana nae maaana wewe kazi yako ni kuangalia makalio kama kigezo vha mke wa kuweka ndani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…