Wanaume wengi wanateswa na wanawake wa aina hii lakini wanaumia ndani kwa ndani matokeo yake kupelekea maafa

Hapo mimi ningepotea nyumbani kwa angalau siku nne hadi tano

Siku ya kurudi ningehakikisha narudi na ushaidi wa wazi kwamba nilikua na mwanamke mwingine ,akizua vagi nakuwa siambiliki mkorofi ujeuri moto yani alafu napotea tena kwa siku tatu hadi nne ..,

Kama asipoondoka mwenyew basi nitaondoka mimi mwenyewe na mapenzi yaishie hapo

Ili laweza lisieleweke kwa sasa hivi lakini utakapo mpambania sana kwa kuwa mume mwema ,kumsamehe vya kutosha na bado akaja kukuacha, utaelewa vizuri kwanini mimi ningefanya hivyo

Mwisho niseme hakuna sehemu duniani hapa utapendwa kwa kuwa mtu mzuri watakutumia na kukuacha .
 
Bro! Shituka! Mke wako anapenda kucheat. Na sio kuwa ana visasi au nn hapana. Yeye kucheat kwake kawaida. Bitch ain't loyal kabisa. Na izo ulizogundua ndo anajitetea kwa kukufanya ww ndo uonekane umesababisha lakin mwanamke anayejiheshimy bro hawezi toa mwili wake ili tu kulipiza...mwili n kitu cha thamani sana kwa mwanamke. Ukiona anatoa toa tu uo n uchafu anaendekeza.

Ushauri wangu kwako. Anza kujitafutia mke kaka. Hapo huna mke. Mtasameana mara kibao ila ataendelea kuliwa nje na siku unagundua utakuwa Una umeme tayari. Mwanamke anayejiheshimu akikukuta umecheat n either atakuacha au maamuz magumu ila sio kwnda kujitoa mwili uko nje!

Tafuta mke kaka hapo huna mke. Ukiona sawa endelea kukarbisha uchafu ndani ila siku unaoa na watu wanamjua mkeo nje ndani ndo utaona umefeli kinoma. Yupo hapo kwa sababu nyngn ila sio mapenzi
 


Wanaume tumebaki wachache sana. Ila na wewe haumheshimu mke wako, unafanya mambo ya kipumbavu kwenye cycle alipo mke wako. Hiyo ndoa ina machungu mbele msipojirekebisha au kuachana.
 
Kama haujafunga nae ndoa ishia hapo hapo atakusumbua sana mbeleni.
Hivyo tu je ukifunga nae ndoa si atahatarisha afya ya akili yako.
Mtu asiyejua thamani ya mwili wake hafai kuitwa mke au mme
 
Pole sana, mpatie talaka 1 tu akapumzike kwao kwa muda, mke anayekipiga kisasi kwa kufanya uzinzi sio mke huyo bali ni jalala
 
Daaaaaaa!!!!
 
Oa mke wa Pili naye aoe mme wa Pili.
Ujue Kuna kuoana na kuoa , kwanza nijibu upo kundi gani. Ukiamua kuongeza hata wake wawe kumi unao huo uamuzi ama utakuja kuomba ushauri hapa ama kwa mke wako.samahani lakini Ila nahitaji nielewe Kuna mtawala ama wote mko sawa. Ni ndoa ya kizungu ya wasomi waafrika ama ya waafrika halisi
 
Umeomba ushauri kwa waungwana humu, wanakushauri kwa kadri ya mawazo na maoni yao kila mtu mmoja kwa anavyoliona jambo lako ila wewe unawacrush tena maoni na ushauri wao 🤣 🤣 🤣 🤣

Inaonekana wewe tayari una maamuzi yako kichwani unatuchosha tu hapa


Waitwaje tena vile?
 
Dah! Nilichogundua kweli watu tuko tofauti. Mimi Kwa kosa kama hilo wala siwezi kudili na huo mchepuko wake na dili na yeye Moja Kwa Moja. Ama ngumi au kuachana, au vyote Kwa pamoja. Ilinitokea Kwa mchumba wangu inasikitisha sana, ni stori ndefu. Nilimwambia tu usikanyage tena kwangu, yaani usije nitakutoa roho. Sio Siri niliumia ila katika maisha maamuzi magumu ni muhimu. Hongera mkuu kwa uvumilivu.
 
Bro unaishi maisha ya stress sana.
Aina ya mwanamke uliyenaye nilishaachana naye kitambo Kwa sasa Nina Amani tele. Uwezi kuishi na mwanamke wa namna hiyo utakuja kufa wewe. Mtoto mmoja sasa umepitia changamoto za hivyo je Mkifikisha 4 utakuwa umepitia mitihani mingapi?. Ndivyo alivyofundwa kwao kuwa ukichepuka naye alipize?. Sikutetei ila hamnamo mwanamke humo. Nachukia tabia hiyo. Nilipiga chini kitambo akalipize visasi wengine tuone.
 
Usiombe kuwa na mke
Mwalimu
Nurse
Polisi
Mhasibu
Mkaguzi Elimu
Mjeda



Mhasibu hapo sizani.

Yaani Mhasibu hapana aisee.

Kama umekutana Na incidence ya Mhasibu mmoja Au wawili usichukulie wengi au wastani wao kuendenda hivyo la hasha.

Kwanza hata haraka haraka Mhasibu mwanamke kukuta tegemezi ni wachache.

Wastani wanaweza kujikimu wenyewe bila kutegemea Mwanaume.

Unlike hao wengine hapo.

Mhasibu ni Mweledi (Proffessional),

Tena ukute full ana CPA, hawezi kuwa na tamaa za Umalaya sababu ya kutaka pesa ya Mwanaume,
Labda iwe hulka yake na wenye kufanya Umalaya kwa hulka ni wachache ukilinganisha Na wale tegemezi wa pangu pakavu tia mchuzi.

Mhasibu labda wale wa NABOCE au wale wakuunga unga failure za hapa na pale Au wa vyuo visivyotambulika.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…