Wanaume wenye tabia ya kuingilia maugomvi ya wanawake zenu kwa kuwasaidia "kusutana" mnakera

Wanaume wenye tabia ya kuingilia maugomvi ya wanawake zenu kwa kuwasaidia "kusutana" mnakera

Inaanzia mwanamke mpaka akusimulie bifu zake na wanawake kashakuona mchele mchele .mm hata nkikaa out na rafiki zake huwa sichangii mada za kipuuzi kifupi hadi huwa wanamuuliza jamaa hivi huwa anapiga stori kweli?
 
Hivi neno kuchamba au kuchambana ni rasmi?Na je kama ni rasmi asili yake ni ipi,na je nikitaka kumwambia mzungu kuchamba Kwa lugha Yao nisemeje?Sorry wakuu najua nipo nje ya Mada bt I need some answers.
 
Siwezi vumilia kuona kipozeo changu anasutwa na mimi nipo tu, lazima nikusute na uzodoke sawasawa.!!!
Hivi na wife tumetoka kumsuta single mama mmoja hadi amenyooka, nimemwambia unanuka K hadi mwenyewe kalegea maana nishampitia miezi kadhaa nyuma, ila nayeye kasena nina kibamia.. nimemind lazima nimrudie kimyakimya
 
Back
Top Bottom