Wanaume wenye tabia ya kuingilia maugomvi ya wanawake zenu kwa kuwasaidia "kusutana" mnakera

Wanaume wenye tabia ya kuingilia maugomvi ya wanawake zenu kwa kuwasaidia "kusutana" mnakera

Umesema kweli. Hamna mwanaume ambaye anajishuhulisha halafu akapata muda wa kuwa mbea. Wanaume wenye maneno mengi ni ma jobless na hawataki kazi ndio maana wanapata muda wa kujifunza misuto mipya mipya .
Hakika umenena vyema siku hizi wamejaa sana mijini kuja bila plan wakati sisi tushaona jiji la biashara tunaenda huko mashambani kuwekeza wanapopakimbia tukirudi mjini ni kuja kuleta bidhaa wao wanakuja mikono tupu unategemea nini kama si ndiyo hao hao wanaishia kuwa gays nakulichafua jiji.
 
Single mama yule hana mume anadanga tu. Chanzo ni yeye kamsema vibaya wife kwa majirani baada ya wife kuzipata habari tukaenda kumpelekea salamu, tumemchamba hadi wapangaji wenzie wamemcheka
🤣🤣🤣🤣 Ila wewe bro miyayusho
Nacheka mpk watu wananishangaa!!
Aisee!! Nikigombana na mtu nitakwambia unisaidie kuwafikishia salamu 🤣🤣
 
Siwezi vumilia kuona kipozeo changu anasutwa na mimi nipo tu, lazima nikusute na uzodoke sawasawa.!!!
Hivi na wife tumetoka kumsuta single mama mmoja hadi amenyooka, nimemwambia unanuka K hadi mwenyewe kalegea maana nishampitia miezi kadhaa nyuma, ila nayeye kasena nina kibamia.. nimemind lazima nimrudie kimyakimya
🤣🤣🤣🤣🙌🙌
Ila umedoboka haswaaa!! Eee mwaya wazodoe wakukome km hawataki kusutwa basi watulize mishono.
Halafu hata humu wapo wanaowasaidia baby zao na wana vigroup vimejaa wasengeee tupu!!! Na mibabu na mijimama imejazana kuzogoa umbea.
 
🤣🤣🤣🤣🙌🙌
Ila umedoboka haswaaa!! Eee mwaya wazodoe wakukome km hawataki kusutwa basi watulize mishono.
Halafu hata humu wapo wanaowasaidia baby zao na wana vigroup vimejaa wasengeee tupu!!! Na mibabu na mijimama imejazana kuzogoa umbea.
Nilijua tu lazima nikukute huku 😂
 
Tena habari nzito nzito unashangaa umepewa mabwana kumi humu ambao hujawahi kuwaona kwa uso wa nyama!!
Wengine wanajisifia nimepita naye Mxieeeeww afu jitu hujawahi hata kuliona?!!
JF wanaume wambea mno na kupenda misifa ya kijinga
Ila wewe!
 
Tena habari nzito nzito unashangaa umepewa mabwana kumi humu ambao hujawahi kuwaona kwa uso wa nyama!!
Wengine wanajisifia nimepita naye Mxieeeeww afu jitu hujawahi hata kuliona?!!
JF wanaume wambea mno na kupenda misifa ya kijinga
Tukiwapa spana kama hivi watabadilika kiukweli wanabooooa sana na miandiko yao ya kinafiki
 
Yani wewe umeamua unifollow kabisa uone hekaheka zangu 😂😂😂😂
Huku lazima niwepo hizi story za kijiwe nongwa muhimu!!! Na ningechelewa ungenitag najua
Hivi huku hakunaga za follow me back 😂
 
Sasa mnacharuana watu hamjuani kwa sura wala majina! Hakika ujana ni maji ya moto
Wanaocharuana humu wengi wanajuana na waliwahi kushare vikojoleo na kila mmoja anahisi ana hati miliki ya kikojoleo cha my wao 🤣🤣🤣🤣🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️
 
Back
Top Bottom