Hao wa humu chanzo wanakijua basi tyuu kujitoa ufahamu!!!Inafikirisha sana ujajiuliza na huyu anasutana anataka nini. Ndio maana mwanaume haupaswi kuungana na mpenzi wako au hata rafiki yako wa kike kusutana na wanawake wenzake.
Maana ukija kujua chanzo cha ugomvi wao utajiona mjinga sana
Natamani niwatag tuwaulize π€£π€£π€£π€£Hata mie wanawake kwa wanawake naona poa tu tena wakigombania utamu fresh tu wao ndo wanajua ladha ila dume kuingia kwenye huo mkumbo unajiuliza hivi hili linaujua utamu wa hilo π linalogombaniwa
Yani wao waunde hata saccos wakileta ufala tutawapa makavuInawaumaga hiyo π€£π€£π€£
Kuna siku waliniundia tume wakamleta mtu anitukane nimjibu wanireport! Yani humu kuna majinga mengi.
Na yule uliokuwa una amka da siku ile ndio michezo yake ni admin wa group Lao la mafichoni π€£
Za weekend?
Hivi mwanaume timamu kabisa mke wako kagombana huko na wanawake wenzake halafu wewe unaenda kuingilia ugomvi na kuanza kusutana na wanawake?
Kwanza mwanaume unatoa wapi ujasiri wa kurushiana maneno na mtoto wa kike? Mpenzi wako akiudhiwa huko na marafiki zake wewe msaada unaoweza kumpatia ni kwenda na wewe kusutana?
Hapo ndio unaonesha Manhood yako? Ndio mkitoka hapo akuambie "safi sana mpenzi wangu umewasuta mpaka wamekoma"? Ndio sifa mnazoziona za maana siku hizi?
Leo nimepita mahali nikakuta kuna ugomvi wa watu wanatoleana maneno(kusutana). Mnaweza mkafikiri ni wanawake eh? HAPANA! ni mwanaume tena mume wa mtu kaenda kumsaidia mke wake kusutana na Bi dada mmoja ambaye anauza duka hapo.
Karibia kila mtu aliyekuwa anashuhudia lile alisikitika sana na kuona aibu kwa ile misuto mwanaume tena mume wa mtu aliyokuwa anaitoa.
Wanaume wenye hizi tabia badilikeni mnakera na kuaibisha sana. Tafuteni hela mpenzi wako akigombana huko mnaenda police na sio unaenda kumsaidia kusutana.
Acheni kujitoa uwanaume wenu kwa vitu vya ajabu. Wanawake kwa wanawake kugombana ni kawaida ila kisicho kawaida ni mwanaume kuingilia ugomvi na kusutana.
Mwanaume unayesutana na mwanamke au hata kutupia maneno wanaume wenzako unajishusha sana. Unadhalilisha nguvu ya manhood iliyowekwa ndani yako. Mwanaume pesa maneno maneno tuachieni sisi wanawake.
Wasubiri ipo siku wataliamsha hapo ndo unamuuliza mwenzetu vipi utamu unaogombaniwa unaujua?Natamani niwatag tuwaulize π€£π€£π€£π€£
Sio Daslama ni wanaume wa JF bro. Si umeona comments za mabinti wa humu. Mambo ya Akina mshamba_hachekwi and cosMambo ya wanaume wa Daslama hao.
Mimi comments zangu wanaziruka ss hivi!!Yani wao waunde hata saccos wakileta ufala tutawapa makavu
ππππ Kuna wengine michele wana watu wao humu na watu wao wana watu wao basi tafrani wao kwa waoWasubiri ipo siku wataliamsha hapo ndo unamuuliza mwenzetu vipi utamu unaogombaniwa unaujua?
Kazi iendelee, sasa ban nayo ni kitu ya kumsagia mtu kweli,, imekuwa chakula hiyo au maji? WakwendeMimi comments zangu wanaziruka ss hivi!!
Nawakanda hata siogopi nikipewa ban nikirudi naruka nao tena!!
Wakileta ufala nawakanda si babu wala kijana mpk wanyooke
Yakiishia huko chemba fresh ila wasilete hayo maushuzi huku aisee wanajiaibisha sana hasa wanaume,ππππ Kuna wengine michele wana watu wao humu na watu wao wana watu wao basi tafrani wao kwa wao
Vita vya mapenzi havijawahi kuishia chemba lazima watuletee wambea tupashwe habari!!Yakiishia huko chemba fresh ila wasilete hayo maushuzi huku aisee wanajiaibisha sana hasa wanaume,
Binadamu wote ni sawa bhana, kwani sisi hatuna mdomo na tuna moyo wa chuma? Sasa anzeni kunipanda kichwani mkijua nitawaacha kisa mwanaume.,. Ntakuchamba hadi uchambike, na kwenye hiyo sector wife ananikubali sanaMkuu hapo umejitia aibu wewe na umemuaibisha mke wako pia.
Mwanaume haupaswi kurushiana maneno na mwanamke. Tena sio mwanamke tu, mwanaume haupaswi kurishiana vijembe hata na mwanaume mwenzako.
Maneno maneno ni mambo ya wanawake. Mwanaume yake ni vitendo tu.
Saiv wapo wanatuandalia ubuyu eti ngoja tukae kwa passwordVita vya mapenzi havijawahi kuishia chemba lazima watuletee wambea tupashwe habari!!
Kweli mkuu nilijifunza kupitia hiloPole mkuu, Ya watu wanaojifunika shuka moja sio ya kuingilia kabisa
Watuletee hadi koneksheni wambea tupo tunasubiri π€£π€£π€£Saiv wapo wanatuandalia ubuyu eti ngoja tukae kwa password
Bando na muda vipo wasiwazeπWatuletee hadi koneksheni wambea tupo tunasubiri π€£π€£π€£
Ila ipo siku humu watu wakigombana kwenye hayo mahaba yao tutapewa koneksheni moja pambe sana ππππBando na muda vipo wasiwazeπ
πππJf wako chonjo zitatembezwa ban jukwaa zima mods wapo makini sanaIla ipo siku humu watu wakigombana kwenye hayo mahaba yao tutapewa koneksheni moja pambe sana ππππ