Wanaume wenzangu MNAWEZAJE kutulia na Mwanamke mmoja?

comrade_kipepe

JF-Expert Member
Joined
Jun 25, 2019
Posts
3,411
Reaction score
4,435
KIUKWELI Mimi nmeshindwa, vishawishi nivingi hapa mjini, kwenye mitandao na mitaani ndio usipime, vishawishi ndio hatari kabisa.

Natamani nitafute hata mganga aniloge niache tamaa ya kutaka Kula kila nitakachokiona, am tired! natamani Leo iwe mara ya mwisho isijirudie tena kufanya huu ujinga Yani wengine MNAWEZAJE??

Hembu nipeni njia ya kuepukana na tamaa, Mimi nmeanza na kufuta Badoo, telegram na tinder maana huko ndio panachochea Sana kufanya uashetati.
 
Utadownload tu ni suala la muda
 
Tinder Kuna warembo jamani kha! Mishahara yetu unaishia huko.
Abarikiwe sana aliyekuja na badoo na tinder...msaada mkubwa kwa sie domo zege🤣🤣🤣🤣🤣
 
Mfalme Suleiman mbarikiwa hekima na Mungu alikuwa na wake halali 700 na na masuria 300.
Baltazar ana mke mmoja na michepuko 460 iliyothibitishwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…