Wanaume wenzangu MNAWEZAJE kutulia na Mwanamke mmoja?

Wanaume wenzangu MNAWEZAJE kutulia na Mwanamke mmoja?

KIUKWELI Mimi nmeshindwa, vishawishi nivingi hapa mjini, kwenye mitandao na mitaani ndio usipime, vishawishi ndio hatari kabisa.

Natamani nitafute hata mganga aniloge niache tamaa ya kutaka Kula kila nitakachokiona, am tired! natamani Leo iwe mara ya mwisho isijirudie tena kufanya huu ujinga Yani wengine MNAWEZAJE??

Hembu nipeni njia ya kuepukana na tamaa, Mimi nmeanza na kufuta Badoo, telegram na tinder maana huko ndio panachochea Sana kufanya uashetati.
-Rejea nyimbo ya Profesa Jay ft feruz.

-Rejea nyimbo ya John mjema.
wachumba 30

_Rejea nyimbo ya Top C. Sababu ya ulofa
 
Tinder kuna piskali kule halafu wengi ma slay Queen na watoto WA chuo
Tinder Kuna warembo jamani kha! Mishahara yetu unaishia huko.
Abarikiwe sana aliyekuja na badoo na tinder...msaada mkubwa kwa sie domo zege🤣🤣🤣🤣🤣
 
Hiko ndio ktu ambacho kinatushnd wengi hasa tulio oa

Cmu inaleta ugomvi
 
KIUKWELI Mimi nmeshindwa, vishawishi nivingi hapa mjini, kwenye mitandao na mitaani ndio usipime, vishawishi ndio hatari kabisa.

Natamani nitafute hata mganga aniloge niache tamaa ya kutaka Kula kila nitakachokiona, am tired! natamani Leo iwe mara ya mwisho isijirudie tena kufanya huu ujinga Yani wengine MNAWEZAJE??

Hembu nipeni njia ya kuepukana na tamaa, Mimi nmeanza na kufuta Badoo, telegram na tinder maana huko ndio panachochea Sana kufanya uashetati.
piga peku upate lile gono sugu lisilosikia dawa utapunguza mwenyewe bila ushauri
 
Hiko ndio ktu ambacho kinatushnd wengi hasa tulio oa

Cmu inaleta ugomvi
Hapo kuna mtihani, na siku hizi mademu wanatamanisha Sana mtaani na kwenye mitandao hasa nguo zao na mapozi Yao ni kubinua tak* tuu
 
Nilipewa kazi maalumu wilaya fulani umbali wa km 180 na eneo langu la kazi mke wangu nikawa namueleza aje anitembelee nina upwiru isitoshe kazi inasema nitakaa miezi 9 cha ajabu mwemzangu akagoma na tukawa na ugomvi wa yeye kuwa kama vile hana hisia na mimi ananijibu jeuri so mi kwa hasira nikawa najaribisha mademu ambao nilikuwa na wamezea mate kuwala aloo mademu wote wanne kumbe nao wananitaka wakawa wanakuja kwa zamu maani niliamua kupanga master room moja na kununua kitanda na godoro kabisa anyway nifupishe tu nimeshangazwa mademu watatu kati ya wale wanne waliokuja wanasema wana mimba yangu kichwa kimewaka moto wawili wamesema eti watalea tu mmoja kasema anaitoa.UZINZI SIO DEAL JAMANI PIA WANAWAKE WETU PUNGUZENI VIBURI MNATUPUSH KWENDA KWA MICHEPUKO KUPUNGUZA STRESS
 
Tinder Kuna warembo jamani kha! Mishahara yetu unaishia huko.
Abarikiwe sana aliyekuja na badoo na tinder...msaada mkubwa kwa sie domo zege🤣🤣🤣🤣🤣
Nilivyokuwa chuo nilikuwa nashangaa pisi zile zinalika na kina nani,kumbe baadae kujua wanachama wa tinder wana enjoy.Na mimi nilijiunga 🤣🤣,kuna dem unakutana nae unasema huyu live hutoboi hata uje na nini.

Ila kuna madem kama 10 wa chuo baada ya kuona wamenielewa nikatoka tinder,ni mwendo mdundo ila wale watoto wote waarabu na wahindi cha ajabu hawana nyodo ukiwakuta live.
THANKS TINDER.
 
Nilivyokuwa chuo nilikuwa nashangaa pisi zile zinalika na kina nani,kumbe baadae kujua wanachama wa tinder wana enjoy.Na mimi nilijiunga 🤣🤣,kuna dem unakutana nae unasema huyu live hutoboi hata uje na nini.

Ila kuna madem kama 10 wa chuo baada ya kuona wamenielewa nikatoka tinder,ni mwendo mdundo ila wale watoto wote waarabu na wahindi cha ajabu hawana nyodo ukiwakuta live.
THANKS TINDER.
Aisee wee kweli ulijua nini maana ya chuo...mademu 10 Kila faculty una demu mzeya. Safi sana.
Sasa jamaa walikuwa wanakupa ushirikiano mambo ya exile? 🤣🤣🤣
 
T
Nilivyokuwa chuo nilikuwa nashangaa pisi zile zinalika na kina nani,kumbe baadae kujua wanachama wa tinder wana enjoy.Na mimi nilijiunga 🤣🤣,kuna dem unakutana nae unasema huyu live hutoboi hata uje na nini.

Ila kuna madem kama 10 wa chuo baada ya kuona wamenielewa nikatoka tinder,ni mwendo mdundo ila wale watoto wote waarabu na wahindi cha ajabu hawana nyodo ukiwakuta live.
THANKS TINDER.
Mnanikumbusha tena habari za tinder aisee mtafanya niidowload tena
 
Back
Top Bottom