Right Way In Light
JF-Expert Member
- Jul 27, 2024
- 1,322
- 3,461
Nishachepuka mkuu wangu.Mi nilidhani hujawahi chepuka mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nishachepuka mkuu wangu.Mi nilidhani hujawahi chepuka mkuu
Hili nalo neno. Ukiwa na hela huwezi kuwa na mwanamke mmojaNjia pekee ni uishiwe hela tu
Hamna kitu kama hicho mbona mfalme selemani alikuwa anaenjoy tuuAs a man, hakuna kitu kitakuchelewesha kama nyeg.e, ni kitu ukijua kukiendesha na kisikuendeshe... hiko kitu kinadrain mtu kuanzia ndani
-Rejea nyimbo ya Profesa Jay ft feruz.KIUKWELI Mimi nmeshindwa, vishawishi nivingi hapa mjini, kwenye mitandao na mitaani ndio usipime, vishawishi ndio hatari kabisa.
Natamani nitafute hata mganga aniloge niache tamaa ya kutaka Kula kila nitakachokiona, am tired! natamani Leo iwe mara ya mwisho isijirudie tena kufanya huu ujinga Yani wengine MNAWEZAJE??
Hembu nipeni njia ya kuepukana na tamaa, Mimi nmeanza na kufuta Badoo, telegram na tinder maana huko ndio panachochea Sana kufanya uashetati.
Nimeipenda hii ila daaah!!Jifunze kujizuia mkuu, ni kweli usipoangalia utaparamia kila unachoona, ila kujizuia na kujipa thamani ni muhimu sana!!
To yeye njoo nitulie na wewe MamaAmua
Tinder Kuna warembo jamani kha! Mishahara yetu unaishia huko.
Abarikiwe sana aliyekuja na badoo na tinder...msaada mkubwa kwa sie domo zege🤣🤣🤣🤣🤣
piga peku upate lile gono sugu lisilosikia dawa utapunguza mwenyewe bila ushauriKIUKWELI Mimi nmeshindwa, vishawishi nivingi hapa mjini, kwenye mitandao na mitaani ndio usipime, vishawishi ndio hatari kabisa.
Natamani nitafute hata mganga aniloge niache tamaa ya kutaka Kula kila nitakachokiona, am tired! natamani Leo iwe mara ya mwisho isijirudie tena kufanya huu ujinga Yani wengine MNAWEZAJE??
Hembu nipeni njia ya kuepukana na tamaa, Mimi nmeanza na kufuta Badoo, telegram na tinder maana huko ndio panachochea Sana kufanya uashetati.
Ausio unaniombea njaapiga peku upate lile gono sugu lisilosikia dawa utapunguza mwenyewe bila ushauri
Hapo kuna mtihani, na siku hizi mademu wanatamanisha Sana mtaani na kwenye mitandao hasa nguo zao na mapozi Yao ni kubinua tak* tuuHiko ndio ktu ambacho kinatushnd wengi hasa tulio oa
Cmu inaleta ugomvi
Ndio hao Sasa wakuenjoy naoTinder kuna piskali kule halafu wengi ma slay Queen na watoto WA chuo
Nilivyokuwa chuo nilikuwa nashangaa pisi zile zinalika na kina nani,kumbe baadae kujua wanachama wa tinder wana enjoy.Na mimi nilijiunga 🤣🤣,kuna dem unakutana nae unasema huyu live hutoboi hata uje na nini.Tinder Kuna warembo jamani kha! Mishahara yetu unaishia huko.
Abarikiwe sana aliyekuja na badoo na tinder...msaada mkubwa kwa sie domo zege🤣🤣🤣🤣🤣
Aisee wee kweli ulijua nini maana ya chuo...mademu 10 Kila faculty una demu mzeya. Safi sana.Nilivyokuwa chuo nilikuwa nashangaa pisi zile zinalika na kina nani,kumbe baadae kujua wanachama wa tinder wana enjoy.Na mimi nilijiunga 🤣🤣,kuna dem unakutana nae unasema huyu live hutoboi hata uje na nini.
Ila kuna madem kama 10 wa chuo baada ya kuona wamenielewa nikatoka tinder,ni mwendo mdundo ila wale watoto wote waarabu na wahindi cha ajabu hawana nyodo ukiwakuta live.
THANKS TINDER.
😂😂 Mbona imeniuma hiiWewe unashangaa wanaotulia na mwanamke mmoja!!!!! Kuna wengine wanatulia na nyeto wala hawana tatizo kabisa🤔
Nani huyo au drone drakeWewe unashangaa wanaotulia na mwanamke mmoja!!!!! Kuna wengine wanatulia na nyeto wala hawana tatizo kabisa🤔
Mnanikumbusha tena habari za tinder aisee mtafanya niidowload tenaNilivyokuwa chuo nilikuwa nashangaa pisi zile zinalika na kina nani,kumbe baadae kujua wanachama wa tinder wana enjoy.Na mimi nilijiunga 🤣🤣,kuna dem unakutana nae unasema huyu live hutoboi hata uje na nini.
Ila kuna madem kama 10 wa chuo baada ya kuona wamenielewa nikatoka tinder,ni mwendo mdundo ila wale watoto wote waarabu na wahindi cha ajabu hawana nyodo ukiwakuta live.
THANKS TINDER.