Japkas
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 3,011
- 4,617
Ukipona unarudi kwenye asili yako. Aliyesema jasiri haachi asili hakukosea.kuna UTI pro max international level ukiipata hiyo unatulia na malkia wako hufurukuti
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukipona unarudi kwenye asili yako. Aliyesema jasiri haachi asili hakukosea.kuna UTI pro max international level ukiipata hiyo unatulia na malkia wako hufurukuti
Cha kwanza kilicho kikubwa ni kuukana mwili wako mwenyewe, soma Wagalatia 5: 17 -26KIUKWELI Mimi nmeshindwa, vishawishi nivingi hapa mjini, kwenye mitandao na mitaani ndio usipime, vishawishi ndio hatari kabisa.
Natamani nitafute hata mganga aniloge niache tamaa ya kutaka Kula kila nitakachokiona, am tired! natamani Leo iwe mara ya mwisho isijirudie tena kufanya huu ujinga Yani wengine MNAWEZAJE??
Hembu nipeni njia ya kuepukana na tamaa, Mimi nmeanza na kufuta Badoo, telegram na tinder maana huko ndio panachochea Sana kufanya uashetati.
Hata kula kwa macho kutamani mwanamke uzini naye kwa macho,au kwa kujichua ,nafsini mwako hata kama hujakutana naye kimwili bado ila tayari ni dhambi na chukizo kwa Mungu.Kosa pesa tu utaweza
Vipi mkuu tinde na badoo kujisajili mpaka hela au bureTinder Kuna warembo jamani kha! Mishahara yetu unaishia huko.
Abarikiwe sana aliyekuja na badoo na tinder...msaada mkubwa kwa sie domo zege🤣🤣🤣🤣🤣
Bure tuu mwanawane unajiachia kwa Raha zakoVipi mkuu tinde na badoo kujisajili mpaka hela au bure
Hao waarabu hatuwapato mbonaNilivyokuwa chuo nilikuwa nashangaa pisi zile zinalika na kina nani,kumbe baadae kujua wanachama wa tinder wana enjoy.Na mimi nilijiunga 🤣🤣,kuna dem unakutana nae unasema huyu live hutoboi hata uje na nini.
Ila kuna madem kama 10 wa chuo baada ya kuona wamenielewa nikatoka tinder,ni mwendo mdundo ila wale watoto wote waarabu na wahindi cha ajabu hawana nyodo ukiwakuta live.
THANKS TINDER.