comrade_kipepe
JF-Expert Member
- Jun 25, 2019
- 3,411
- 4,435
- Thread starter
- #61
VIJANA badala wanipe USHAURI wanasifia tinder kuna mademu wakali Sana 𤣠Yani wananishawishi tena niinstall upya, hii kesi ya nyani nimempelekea ngedere
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Afu ni bahati pia ,kwasababu mimi nilikuwa naogopa profile za pisikali nafata zile za kawadi na sura za baba.siunajua tena upwir* kumbe madem wakishua hasahasa waarabu na wahindi hawajiweki profile.Aisee wee kweli ulijua nini maana ya chuo...mademu 10 Kila faculty una demu mzeya. Safi sana.
Sasa jamaa walikuwa wanakupa ushirikiano mambo ya exile? š¤£š¤£š¤£
Usikute ni matapeli hao, picha unazozioƱa huko Siyo za mtu utayekutana naye.Ndio mwanawane...dah Kuna pisi kule hela yako tuu
UTI kali sanaa,wanaita UTI sugu ,hatari sanaa.kuna UTI pro max international level ukiipata hiyo unatulia na malkia wako hufurukuti
Hili nalo sii unampiga biti kuwa ukija na ukawa tofauti utajitudiaha mwenyewe kwenuUsikute ni matapeli hao, picha unazozioƱa huko Siyo za mtu utayekutana naye.
Ila Hawa sura za baba wakikuona mbususu wanajituma hao...maana na wenyewe wanajua wamepata mbooo Leo kuja kuona tena mpaka paradisooooo š¤£š¤£š¤£š¤£š¤£Afu ni bahati pia ,kwasababu mimi nilikuwa naogopa profile za pisikali nafata zile za kawadi na sura za baba.siunajua tena upwir* kumbe madem wakishua hasahasa waarabu na wahindi hawajiweki profile.
Afu ni zile pisi ambazo ni introvert sana afu zinataka mechi.Aisee nilijisevia mpaka mgongo na kiuno nilihisi vinachomokaš.
As a man, hakuna kitu kitakuchelewesha kama nyeg.e, ni kitu ukijua kukiendesha na kisikuendeshe utasave vingi... hiko kitu kinadrain mtu kuanzia ndani
Wee jamaa mzembe sanaš8 tu mwanangu kwa age hii ya 35 hata Noah sijazi!. š
piga peku upate lile gono sugu lisilosikia dawa utapunguza mwenyewe bila ushauri
Hongera sana mkuu kwa kujitambua na kutambua tatizo na kuwa na nia ya dhati ya kuacha uzinzi.
1)Hatua nzuri sana ya kwanza ni kujutia kuchukia dhambi na kuwa na nia ya dhati ya kuacha dhambi.
2)Hatua ya pili ni kuweka mkakati plan ya kuacha dhambi mfano kuepuka vishawishi kama sehemu za anasa mitandao ya kijamii na sehemu zinayohamasisha na kampan marafiki wanaohamasisha dhambi ya uzinzi
4) Utekelezaji delete namba na mitandao,kuacha /kuepuka maeneo yenye vishawishi vyote
3)Hatua ya nne ni kumuomba Mungu kuwa mtubwa ibada sana .Unareplace baa/club (nyumba za starehe anasa,matamasha t
ya anasa za dunia---na nyumba za ibada matamasha ya ibada.
miziki /video/sinema /youtube channel/mitandao ya kijamii ya kidunia---mitandao ya kidini ya mahubiri/kusoma na kusikiliza/kutazama nena la Mungu
HONGERA SANA kwa kuwa maamuzi yametoka ndani yako umeamua mwwnyewe sasa simamia maamuzi yako weka mikakati,Muombe Mungu akusaidie.
HATA MIMI nilikuwa kama wewe hivyo hivyo na nilikuwa naacha narudi default mara kadhaa lakink nilikuwa najutia najilaumu ....baadae nikasimamia maamuzi yangu
nikadelete michepuko,nikaacha kunywa pombe,nikadelete telegramu na mitandao ya kijamii,nikaacha kwenda club,nikaacha kusikiliza miziki ya kidunia na video za kidunia
Nikaanza kusali kwa kasi ,kusikiliza mahubiri na gospel,kusali jumuiya kwenda kwwnye ibada za maombi,kusikiliza shuhuda promover youtube tv channel
Sasa hivi nimemaliza miaka miwili bila kuchepuka bila kunywa pombe ,bila kwenda club bila kusikiliza miziki ya kidunia zaidi ya kwaya ,wala movies za kidunia,MUNGU atakusaidia inaanza na wewe mwenyewe
DHAMBI YA UZINZI unatakiwa UIKIMBIE yani hii dhambi ili uweze kudhinda vishawishi vyake inatakiwa UKIMBIE kama hussein bolt toka
Asante Sana najitahid nimeshaanza kutekelezaHongera sana mkuu kwa kujitambua na kutambua tatizo na kuwa na nia ya dhati ya kuacha uzinzi.
1)Hatua nzuri sana ya kwanza ni kujutia kuchukia dhambi na kuwa na nia ya dhati ya kuacha dhambi.
2)Hatua ya pili ni kuweka mkakati plan ya kuacha dhambi mfano kuepuka vishawishi kama sehemu za anasa mitandao ya kijamii na sehemu zinayohamasisha na kampan marafiki wanaohamasisha dhambi ya uzinzi
4) Utekelezaji delete namba na mitandao,kuacha /kuepuka maeneo yenye vishawishi vyote
3)Hatua ya nne ni kumuomba Mungu kuwa mtubwa ibada sana .Unareplace baa/club (nyumba za starehe anasa,matamasha t
ya anasa za dunia---na nyumba za ibada matamasha ya ibada.
miziki /video/sinema /youtube channel/mitandao ya kijamii ya kidunia---mitandao ya kidini ya mahubiri/kusoma na kusikiliza/kutazama nena la Mungu
HONGERA SANA kwa kuwa maamuzi yametoka ndani yako umeamua mwwnyewe sasa simamia maamuzi yako weka mikakati,Muombe Mungu akusaidie.
HATA MIMI nilikuwa kama wewe hivyo hivyo na nilikuwa naacha narudi default mara kadhaa lakink nilikuwa najutia najilaumu ....baadae nikasimamia maamuzi yangu
nikadelete michepuko,nikaacha kunywa pombe,nikadelete telegramu na mitandao ya kijamii,nikaacha kwenda club,nikaacha kusikiliza miziki ya kidunia na video za kidunia
Nikaanza kusali kwa kasi ,kusikiliza mahubiri na gospel,kusali jumuiya kwenda kwwnye ibada za maombi,kusikiliza shuhuda promover youtube tv channel
Sasa hivi nimemaliza miaka miwili bila kuchepuka bila kunywa pombe ,bila kwenda club bila kusikiliza miziki ya kidunia zaidi ya kwaya ,wala movies za kidunia,MUNGU atakusaidia inaanza na wewe mwenyewe
DHAMBI YA UZINZI unatakiwa UIKIMBIE yani hii dhambi ili uweze kudhinda vishawishi vyake inatakiwa UKIMBIE kama hussein bolt toka nduki.
Soda umeacha ukabakiza juisi?KIUKWELI Mimi nmeshindwa, vishawishi nivingi hapa mjini, kwenye mitandao na mitaani ndio usipime, vishawishi ndio hatari kabisa.
Natamani nitafute hata mganga aniloge niache tamaa ya kutaka Kula kila nitakachokiona, am tired! natamani Leo iwe mara ya mwisho isijirudie tena kufanya huu ujinga Yani wengine MNAWEZAJE??
Hembu nipeni njia ya kuepukana na tamaa, Mimi nmeanza na kufuta Badoo, telegram na tinder maana huko ndio panachochea Sana kufanya uashetati.
KIUKWELI Mimi nmeshindwa, vishawishi nivingi hapa mjini, kwenye mitandao na mitaani ndio usipime, vishawishi ndio hatari kabisa.
Natamani nitafute hata mganga aniloge niache tamaa ya kutaka Kula kila nitakachokiona, am tired! natamani Leo iwe mara ya mwisho isijirudie tena kufanya huu ujinga Yani wengine MNAWEZAJE??
Hembu nipeni njia ya kuepukana na tamaa, Mimi nmeanza na kufuta Badoo, telegram na tinder maana huko ndio panachochea Sana kufanya uashetati.
Tatizo lako unashindwa ku master matamanio. Control your thought na utaweza kufanya makubwa zaidi.KIUKWELI Mimi nmeshindwa, vishawishi nivingi hapa mjini, kwenye mitandao na mitaani ndio usipime, vishawishi ndio hatari kabisa.
Natamani nitafute hata mganga aniloge niache tamaa ya kutaka Kula kila nitakachokiona, am tired! natamani Leo iwe mara ya mwisho isijirudie tena kufanya huu ujinga Yani wengine MNAWEZAJE??
Hembu nipeni njia ya kuepukana na tamaa, Mimi nmeanza na kufuta Badoo, telegram na tinder maana huko ndio panachochea Sana kufanya uashetati.