Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
Njia pekee ni uishiwe hela tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣 Kuanzia Leo sitak tenaHakuna mwanaume wa mwanamke mmoja ,hakuna hakunaaa nakataaaa....
Hawa telegram na Badoo wanakuitaji Sanaa mkuu usiwakimbiee wataliwa na naniii😅
mtihani ndio ulipo hapoJifunze kujizuia mkuu, ni kweli usipoangalia utaparamia kila unachoona, ila kujizuia na kujipa thamani ni muhimu sana!!
Ah wapi wee uwinde watoto wa chuo mwanawane wale siku ya kwanza tuu ndom ila baadae unajilia vizuri tena update wale waroho wa outings na marafiki zake threesome inanukia vizuriiiIla nasikia wapo makini Sana kutumia condom
Huyu ni mimi kabisa[emoji1787][emoji1787]Utadownload tu ni suala la muda
Kamatia totoz wewe maisha ndio haya hayamtihani ndio ulipo hapo
Eti mara 8 tu ,kwamba ni ndogoMwaka wa pili huu mimi nakula wife tuu. Na katika maisha yangu ya ndoa almost 15 years now, nimechepuka mara 8 tu
🤣🤣🤣🤣 Wazee wa kuokoa kibundaWewe unashangaa wanaotulia na mwanamke mmoja!!!!! Kuna wengine wanatulia na nyeto wala hawana tatizo kabisa🤔
Duu!🙄Mfalme Suleiman mbarikiwa hekima na Mungu alikuwa na wake halali 700 na na masuria 300.
Baltazar ana mke mmoja na michepuko 460 iliyothibitishwa
🤣🤣🤣🤣 Upo vizuriMwaka wa pili huu mimi nakula wife tuu. Na katika maisha yangu ya ndoa almost 15 years now, nimechepuka mara 8 tu
🤣🤣🤣Ah wapi wee uwinde watoto wa chuo mwanawane wale siku ya kwanza tuu ndom ila baadae unajilia vizuri tena update wale waroho wa outings na marafiki zake threesome inanukia vizuriii
Ndogo sana kaka..kwa pisi zilizojaa dunia ya leo?? Ndogo sana, kwakifup namuelewa sana mleta mada, now days kuna wanawake jaman wametapakaa huko mitaani ushindwe wewe tu!. So mara 8 for 15 yrs ni wastan wa kuchepula mara 1 after every 2 years.Eti mara 8 tu ,kwamba ni ndogo
Tumpe muda asaiv bado ni mapemaHuyu ni mimi kabisa[emoji1787][emoji1787]
Uwe unachukua na video huenda ukavunja rekodi ya baltazar
8 tu mwanangu kwa age hii ya 35 hata Noah sijazi!. 😂Kwamba umechepuka na wanawake nane tofauti🤣
Ndogo sana kaka..kwa pisi zilizojaa dunia ya leo?? Ndogo sana, kwakifup namuelewa sana mleta mada, now days kuna wanawake jaman wametapakaa huko mitaani ushindwe wewe tu!. So mara 8 for 15 yrs ni wastan wa kuchepula mara 1 after every 2 years.