Wanaume wenzangu MNAWEZAJE kutulia na Mwanamke mmoja?

Cha kwanza kilicho kikubwa ni kuukana mwili wako mwenyewe, soma Wagalatia 5: 17 -26
 
Kosa pesa tu utaweza
Hata kula kwa macho kutamani mwanamke uzini naye kwa macho,au kwa kujichua ,nafsini mwako hata kama hujakutana naye kimwili bado ila tayari ni dhambi na chukizo kwa Mungu.
Dawa ni kufuta mawazo mabaya akilini na kufuta tamaa mbaya za mwilini.Kwa kuanza na wewe mwenyewe kuamua na kusimamia msimamo wako ,na kufanya sala na Roho wa Mungu kikusaidia.Ukimpinga shetani naye atakukimbia.Na Mungu akimkaribisha ataikupa nguvu za Rohoni za kushinda dhambi.
 
Ukipata kamnyeso ndio utajua kuwa duniani ulikuja kufanya nini..............utawashwa hilo bichwa la chini liwe kama linataka kupasuka ukipona urudii tena
 
Hao waarabu hatuwapato mbona
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…