Shukran sana boss umenenaWanawake wa ckuiz ujuaji mwingi kumshikisha mimba Ni shughuli pevu Sana.
Wengi wanatumia dawa mbali mbali Mara cjui p2 Mara cjui Nini, Yaani mataka taka mengi tu kwa lengo la kutokupata ujauzito.
Nakushauri mchukue mkeo muende mkamtafute Daktari wa kienyeji awape dozi ya dawa za kienyeji.Natumai hizo dawa zitamsaidia mkeo na bila Shaka ataukwaa ujauzito wako.Kila la heri.
Pia kwa kuongezea akihitaji kuchagua jinsi ya mtoto, mtoto wa kike, basi afanye siku 2 kabla ya siku ya 14 kufika na hasifanye tena. Akitaka wakiume afanye karibu kila siku ya hizo siku za hatari au afanye siku ya 13, 14 na 15.Naongezea ukipata izo siku kama ni 28 gawa kwa 2 utapata 14 kwaiyo mwanamke wako atashika mimba siku ya 14 tangu uone tone la damu.Ila pia kuanzia siku ya 12,13 Atlanta pia maana yai la mwanaume linaishi masaa 72 pia siku ya 15,16 atapata pia mimba.
Mzunguko wa hedhi yake ni wa siku ngapi? Tuanzie hapo....!Kama kichwa cha habari kinavyojielezea sijui nakosea wapi. Nina mchumba wangu tumemaliza mwaka sasa nikimpanda ila hashiki mimba na anaingia period kama kawaida.
Nawaza labda naeza kwenda kujaribu kwa mwanamke mwingine kisha inase na sipo tayari kuzaa na mwanamke mwingine zaidi ya huyu.
Kama kuna utundu mwingine ambao unafanyika wakati wa kumpa mwanamke mimba basi nijuzeni wakulungwa.
Na kweli imenogaNimetumia lugha hiyo ili kunogesha
Umenena bossPia kwa kuongezea akihitaji kuchagua jinsi ya mtoto, mtoto wa kike, basi afanye siku 2 kabla ya siku ya 14 kufika na hasifanye tena. Akitaka wakiume afanye karibu kila siku ya hizo siku za hatari au afanye siku ya 13, 14 na 15.
Kila siku tunawaambia.Leo ndiyo nimekubali kwamba wanaume tumepungua
🤣🤣🤣🤣 Aiseh hyo picha uloweka yenyewe matatizo toa namba ya dem wako afundishwe na kaka angu fulani alaf atakuja akusimulieKama kichwa cha habari kinavyojielezea sijui nakosea wapi. Nina mchumba wangu tumemaliza mwaka sasa nikimpanda ila hashiki mimba na anaingia period kama kawaida.
Nawaza labda naeza kwenda kujaribu kwa mwanamke mwingine kisha inase na sipo tayari kuzaa na mwanamke mwingine zaidi ya huyu.
Kama kuna utundu mwingine ambao unafanyika wakati wa kumpa mwanamke mimba basi nijuzeni wakulungwa.
Kama kichwa cha habari kinavyojielezea sijui nakosea wapi. Nina mchumba wangu tumemaliza mwaka sasa nikimpanda ila hashiki mimba na anaingia period kama kawaida.
Nawaza labda naeza kwenda kujaribu kwa mwanamke mwingine kisha inase na sipo tayari kuzaa na mwanamke mwingine zaidi ya huyu.
Kama kuna utundu mwingine ambao unafanyika wakati wa kumpa mwanamke mimba basi nijuzeni wakulungwa.
Hesabu Toka period imeanza then mfanye siku ya kumi na nne na alale Chali pia uzamishe mashine yote ndani.Mtapata mtoto wa kiume.
Pole sana .Kama kichwa cha habari kinavyojielezea sijui nakosea wapi. Nina mchumba wangu tumemaliza mwaka sasa nikimpanda ila hashiki mimba na anaingia period kama kawaida.
Nawaza labda naeza kwenda kujaribu kwa mwanamke mwingine kisha inase na sipo tayari kuzaa na mwanamke mwingine zaidi ya huyu.
Kama kuna utundu mwingine ambao unafanyika wakati wa kumpa mwanamke mimba basi nijuzeni wakulungwa.