WANAUME WENZANGU: Umewahi kufanya jambo ukaja kujuta baadae kama mimi ninavyojuta mpaka sasa?

WANAUME WENZANGU: Umewahi kufanya jambo ukaja kujuta baadae kama mimi ninavyojuta mpaka sasa?

Kwani kuna kosa gani hapo? Kuto kuolewa kwa huyo mwanamke hakuhusiani na kuzalishwa. Ni matabia yake tu ya hovyo,asitafute mchawi.mbona kuna wadada kibao tu walizaa na waliolewa vizuri tu.
Yupo smart sana tuu.
Sio muhuni.
 
Bro pole kwa majuto ila bado hujachelewa, ikiwa kama umepata moyo wa huruma wa kutafuta namna ya kumchukuwa mtoto wake ili nae apate mwenza wake ila imeshindikana fanya uwe nae wewe, maana hayo majuto hayatakwissha na lawama kwako hazitaisha.... Jiongeze mke mwingne kwa kumfurahisha mwenzio
Dini hairuusu.
Ndoa ni moja tuu.
 
Huyu dada hajamuacha ex wake katika nafsi hata akiwa peke yake fikra zake ni ex, hawezi kupata mwnaume km bado anaishi kwenye kivuli cha ex
Sikuwa nae kwenye relationship.
Ni one night stand tuu.
Kana umesoma vizuri.

Siamini kama ananipenda maana kuna siku alinitishia mwizi nikasalimika.
 
Nipo katika Situation hiyo ila Uzuri wangu/Ubaya wangu sijaoa hata mmoja wao.

Heri awe mmoja sasa,wako mtu 3 na wote ni wife material yani ukinigawa moyo wangu una upendo kwa wote wa tatu.

Wakati mwingine nawaza nikae single mpka wote nihakikishe wameolewa maana ki ukweli staki ingia mwenye ndoa halafu nianze kumbushia na X wangu. eti kwa huruma.

Nimekaa hapa sielewagi wakati mwingine najisemea mimi sito OA nitakaa hv hv na yeyote kati yao ataetaka NDOA nakataa ataeshindwa vumilia aolewe, Kauli yangu kwao ni 1.

"Kama Nakuchelewesha tafuta atakae kuwahisha"

naisema hiyo kauli wanaiona kama utani ila moyoni naitamka kwa kumaanisha yani natamani hata niamke nikute mtu kanitext kaniambia "Nimeamua ku move on na mahusiano mengine"

Natamani kweli ila wote wamegoma yani kama hawaoni yani Hawajaliiiii...

Mziki ni kwangu sasa,Huku home naambiwa OA weweeeee OA unri huooo sasa namuoa naniiii?

Wangejua nipo kati kati nimetaitishwa hata wasingesema kitu.

Ki ufupi hamna kitu nailaani kama Long Distance katika mahusiano maana hii wote wameisababisha.

Ndugu zangu mkiona Sioi sio kwamba sion wadada wapya ila ndio hivyo nasubiri Msamaha wa baraza la mawaziri nione wataamua nini.

watakaoamua ku move on watakua wameniokoa kweli...
 
Sikuwa nae kwenye relationship.
Ni one night stand tuu.
Kana umesoma vizuri.

Siamini kama ananipenda maana kuna siku alinitishia mwizi nikasalimika.
Unasema mlianza kwenye urafiki manake mwenzio hapo alishaanza kutengeneza hisia za kukupenda wewe ilikuwa one night ila tayari alishakupenda,, mkasex yakatokea yaliyotokea na ukamuoa mwanamke mwingine wanawake wengi hawawezi kuhimili hiyo kitu ndo hivyo kuishia kuwa kama mzimu tu, kakubebelea hasira za kufeli kwake anazishusha kwako,
 
Nipo katika Situation hiyo ila Uzuri wangu/Ubaya wangu sijaoa hata mmoja wao.

Heri awe mmoja sasa,wako mtu 3 na wote ni wife material yani ukinigawa moyo wangu una upendo kwa wote wa tatu.

Wakati mwingine nawaza nikae single mpka wote nihakikishe wameolewa maana ki ukweli staki ingia mwenye ndoa halafu nianze kumbushia na X wangu. eti kwa huruma.

Nimekaa hapa sielewagi wakati mwingine najisemea mimi sito OA nitakaa hv hv na yeyote kati yao ataetaka NDOA nakataa ataeshindwa vumilia aolewe, Kauli yangu kwao ni 1.

"Kama Nakuchelewesha tafuta atakae kuwahisha"

naisema hiyo kauli wanaiona kama utani ila moyoni naitamka kwa kumaanisha yani natamani hata niamke nikute mtu kanitext kaniambia "Nimeamua ku move on na mahusiano mengine"

Natamani kweli ila wote wamegoma yani kama hawaoni yani Hawajaliiiii...

Mziki ni kwangu sasa,Huku home naambiwa OA weweeeee OA unri huooo sasa namuoa naniiii?

Wangejua nipo kati kati nimetaitishwa hata wasingesema kitu.

Ki ufupi hamna kitu nailaani kama Long Distance katika mahusiano maana hii wote wameisababisha.

Ndugu zangu mkiona Sioi sio kwamba sion wadada wapya ila ndio hivyo nasubiri Msamaha wa baraza la mawaziri nione wataamua nini.

watakaoamua ku move on watakua wameniokoa kweli...
Kaka hivi vitu vinaumiz sana,
Watu wanachukulia poa.
 
Unasema mlianza kwenye urafiki manake mwenzio hapo alishaanza kutengeneza hisia za kukupenda wewe ilikuwa one night ila tayari alishakupenda,, mkasex yakatokea yaliyotokea na ukamuoa mwanamke mwingine wanawake wengi hawawezi kuhimili hiyo kitu ndo hivyo kuishia kuwa kama mzimu tu, kakubebelea hasira za kufeli kwake anazishusha kwako,
Kasome tena vizuri.
Nenda kasome tena.
Narudia : nenda kasome tena.
 
Kipimo ulichompimia mwenzeko ndo hicho hicho utakachopimiwa.
Wazazi wako walikua sahihi kabisa kukwambia umuoe ona Sasa umemuaribia bint wa watu life kwa Dunia ya Leo Miaka 32 nani amuoe.

Ushauri wangu kwako kama upo vizuri Muombe msamaha then Muombe Mungu wako msamaha ufunge kabisa hizo Roho za malipiz kwa wanao wasije fanywa kama wewe ulivyo fanya, na jinsi unavyo fikiria ndugu ndo hivyo hivyo mambo hutokea wakati mwingine sis Binadamu huwa tunawaza mambo yatakayo tokea mbelen na tunajua Alfu tunapuuzia, so nakushauri Mawazo unayo yawaza usiyapuuzie Muombe sana Mungu wako akusamehe hiyo dhambi na isiipate familia yako pia huyo Binti Muombe msamaha,

Kingine mshauri awe mkweli,, mm nafikiri kumficha mtoto siyo chanzo Cha kupta Mme wa Kumuoa yeye apambane akipata mwanaume asimdanganye Kuwa Hana mtot Bali amwambie ukweli maisha mengine yaendelee

Kila la kher
Miaka 32 Nani amuoe??. Wanaolewa wa miaka 50 iwe huyu wa 32 msichana kabisa.
 
Habari wana Jf nipo na ID nyingine niliifungua karibu siku 26 zilizopita. Twende kwenye mada.

Mimi nina umri wa miaka 35 kwa sasa nina watoto 3. Nimeoa na nina mke nimezaanae watoto 2. Mtoto wangu wa kwanza nilizaa na dada mmoja chuoni. Mama yake sikumuoa nilioa mwanamke mwingine ila mtoto ninaishi nae mimi. Kitu hiki ndo kinanifanya kuwa na majuto kitendo nilichomfanyia mama yake. Daa kinaniumiza sana sometime nawaza bora ningemuoa mama yake.

Kipindi nipo chuo mwaka wa 3 naingia. Mwaka wa kwanza ndo walikuwa wanafika chuoni. Sasa si unajua mambo ya chuo mabinti wapya kutoka form 6 ndo wanakuja. Vijana mambo ya chuo naamini mnaelewa. Sasa nikamuona binti mmoja, nikaanza kumvizia sana, nakumbuka kipindi kile na rafiki zangu tulikuwa tunagawana mabinti, mimi huyu wewe yule.

Nilizoeana nae na kuanza kumfuata ili kuanzisha mahusiano nae. Nilijitahidi kuvizia na kupeana mbinu wa friends. Wenzangu walifanikiwa baadhi hadi kuwa nao first year. Ila mimi bado ananiangaisha.

Yeye alisema issue ya mahusiano hapana labda kuwa friends kawaida tuu. Mimi nikaona poa ila bado namvizia yule dada. Japo alikuwa mgumu sana.

Siku moja chuoni night watu walikuwa wanafanya discussion. Sasa nilikuwa na yule binti night siku ile tulipiga story kadhaa. Nilipanga kusex nae anytime nitakapo pata chance.

Siku ile nilipanga leo ni leo nitafanikiwa. Nakumbuka niseme kwa kifupi tuu nilimlaghai sana kwa kumshika shika akawa anasema tuu acha. Baadae akatoka akaamua kuondoka kurudi hostel, mimi nilikuwa sikai mbali na chuoni ghetto langu ni maeneo hayo ya chuoni tuu.

Nilimshikashika mpk akasema usinishawishi kuzini mimi siitaji.

Niliendelea tu.

MWISHOWE alilainika na akajikuta anakubali , nilienda nae ghetto tukasex na alilala mpk morning.

Asubui anashituka daa nikamkuta analia sana na kunilaumu, aliondoka na kwenda hostel .

Hatukuwa karibu kama 2 weeks hivi. Baada ya wiki 3 na siku kadhaa akaniambia siku zake haziona. Mimi eeeeeee. Nilishituka sana. Kumbe siku ile alikuwa siku zake za hatari . Nikili tuu nilitake risk sikutumia condom.

Niliisi kama kuchanganyikiwa hivi nikaona au ananimbambikizia nini. Niliwaeleza wadau wakasema Katoe , mimi daaa kitu hicho sijawahi hata kufanya , nikimuangalia binti yeye namuona she is not okay muda wote mpk wenzie wanamuliza shida nini.

Nikaa kimya tuu siku zinaenda naona tumbo hilo. Baada ya miezi kama 3 hivi ujauzito ukaanza kumsumbua sana. Mpk akaanza kunilaumu mimi. Akalazimika kwenda kwao. Kwao walimzingua sana tena sana.

Alikuwa ananipigia simu huku akinilaumu kwa siku ile.

Akalazimika kusitisha chuo. Baada ya kujifungua mimi nilikuwa nishamaliza chuo.
Mbaya zaidi akajifungua kwa operation mda wa kukaa home ndo ukazidi.

Akarudi chuo wenzie wako mwaka wa 3 yeye anaendelea na semester ya 2 mwaka wa kwanza. Mshono wa operation ulimsumbu sana.

Mimi nilisena tuu home wakanitupia maneno sana kwani wazazi wangu ni watu wa dini sana. Tukio lile lilinifanya niache kuzini kabisa.

Ila baadae nilikutana na binti mwingine. Na kumuoa .
Japo mama alinisisitiza sana muoe mama mtoto wako. Kwa sababu pale umemuaribu mtoto wa watu. Mimi wala sikujali.

Ila mzazi mwezangu yule. Tangu kamaliza chuo akipata mwanaume, akijua anamtoto jamaa anamuacha. Kila anayepata anamuacha. Baadae nikaona ngoja nimchukue mtoto nikae nae. Ili na yeye apate mtu amuoe . Ila wapi.

Mwaka juzi alipata mmoja alikubali ila alivyokuja kugundua alijifungua kwa operation akamuacha. Mara nyingine anakuwa ananilalamikia sana nimemualibia system mzima ya life yake.

Kwa sasa anaumri wa miaka 32. Rafiki zake wote tayari wameolewa ila yeye bado , mara nyingi anakuwa ni mtu wa huzuni sana , she is not happy always.

Hiki kitu mara nyingi kinaniumiza sana , maana naona kama nimemuaribia maisha binti wa watu.

Na mimi hapa home nina mtoto wa kike nafikilia na yeye akikutwa na tukio kama lile itakuwaje huwa nafikilia sana na kumuangali binti yangu huyu hapa home.

Daaa we acha .

KAMA NIMEKOSEMA UANDISHI NAOMBA RADHI.🤲🙏🙏🙏
Nashukuru sijawahi mharibia mwanamke ahadi yoyote ya kweli.
 
Habari wana Jf nipo na ID nyingine niliifungua karibu siku 26 zilizopita. Twende kwenye mada.

Mimi nina umri wa miaka 35 kwa sasa nina watoto 3. Nimeoa na nina mke nimezaanae watoto 2. Mtoto wangu wa kwanza nilizaa na dada mmoja chuoni. Mama yake sikumuoa nilioa mwanamke mwingine ila mtoto ninaishi nae mimi. Kitu hiki ndo kinanifanya kuwa na majuto kitendo nilichomfanyia mama yake. Daa kinaniumiza sana sometime nawaza bora ningemuoa mama yake.

Kipindi nipo chuo mwaka wa 3 naingia. Mwaka wa kwanza ndo walikuwa wanafika chuoni. Sasa si unajua mambo ya chuo mabinti wapya kutoka form 6 ndo wanakuja. Vijana mambo ya chuo naamini mnaelewa. Sasa nikamuona binti mmoja, nikaanza kumvizia sana, nakumbuka kipindi kile na rafiki zangu tulikuwa tunagawana mabinti, mimi huyu wewe yule.

Nilizoeana nae na kuanza kumfuata ili kuanzisha mahusiano nae. Nilijitahidi kuvizia na kupeana mbinu wa friends. Wenzangu walifanikiwa baadhi hadi kuwa nao first year. Ila mimi bado ananiangaisha.

Yeye alisema issue ya mahusiano hapana labda kuwa friends kawaida tuu. Mimi nikaona poa ila bado namvizia yule dada. Japo alikuwa mgumu sana.

Siku moja chuoni night watu walikuwa wanafanya discussion. Sasa nilikuwa na yule binti night siku ile tulipiga story kadhaa. Nilipanga kusex nae anytime nitakapo pata chance.

Siku ile nilipanga leo ni leo nitafanikiwa. Nakumbuka niseme kwa kifupi tuu nilimlaghai sana kwa kumshika shika akawa anasema tuu acha. Baadae akatoka akaamua kuondoka kurudi hostel, mimi nilikuwa sikai mbali na chuoni ghetto langu ni maeneo hayo ya chuoni tuu.

Nilimshikashika mpk akasema usinishawishi kuzini mimi siitaji.

Niliendelea tu.

MWISHOWE alilainika na akajikuta anakubali , nilienda nae ghetto tukasex na alilala mpk morning.

Asubui anashituka daa nikamkuta analia sana na kunilaumu, aliondoka na kwenda hostel .

Hatukuwa karibu kama 2 weeks hivi. Baada ya wiki 3 na siku kadhaa akaniambia siku zake haziona. Mimi eeeeeee. Nilishituka sana. Kumbe siku ile alikuwa siku zake za hatari . Nikili tuu nilitake risk sikutumia condom.

Niliisi kama kuchanganyikiwa hivi nikaona au ananimbambikizia nini. Niliwaeleza wadau wakasema Katoe , mimi daaa kitu hicho sijawahi hata kufanya , nikimuangalia binti yeye namuona she is not okay muda wote mpk wenzie wanamuliza shida nini.

Nikaa kimya tuu siku zinaenda naona tumbo hilo. Baada ya miezi kama 3 hivi ujauzito ukaanza kumsumbua sana. Mpk akaanza kunilaumu mimi. Akalazimika kwenda kwao. Kwao walimzingua sana tena sana.

Alikuwa ananipigia simu huku akinilaumu kwa siku ile.

Akalazimika kusitisha chuo. Baada ya kujifungua mimi nilikuwa nishamaliza chuo.
Mbaya zaidi akajifungua kwa operation mda wa kukaa home ndo ukazidi.

Akarudi chuo wenzie wako mwaka wa 3 yeye anaendelea na semester ya 2 mwaka wa kwanza. Mshono wa operation ulimsumbu sana.

Mimi nilisena tuu home wakanitupia maneno sana kwani wazazi wangu ni watu wa dini sana. Tukio lile lilinifanya niache kuzini kabisa.

Ila baadae nilikutana na binti mwingine. Na kumuoa .
Japo mama alinisisitiza sana muoe mama mtoto wako. Kwa sababu pale umemuaribu mtoto wa watu. Mimi wala sikujali.

Ila mzazi mwezangu yule. Tangu kamaliza chuo akipata mwanaume, akijua anamtoto jamaa anamuacha. Kila anayepata anamuacha. Baadae nikaona ngoja nimchukue mtoto nikae nae. Ili na yeye apate mtu amuoe . Ila wapi.

Mwaka juzi alipata mmoja alikubali ila alivyokuja kugundua alijifungua kwa operation akamuacha. Mara nyingine anakuwa ananilalamikia sana nimemualibia system mzima ya life yake.

Kwa sasa anaumri wa miaka 32. Rafiki zake wote tayari wameolewa ila yeye bado , mara nyingi anakuwa ni mtu wa huzuni sana , she is not happy always.

Hiki kitu mara nyingi kinaniumiza sana , maana naona kama nimemuaribia maisha binti wa watu.

Na mimi hapa home nina mtoto wa kike nafikilia na yeye akikutwa na tukio kama lile itakuwaje huwa nafikilia sana na kumuangali binti yangu huyu hapa home.

Daaa we acha .

KAMA NIMEKOSEMA UANDISHI NAOMBA RADHI.🤲🙏🙏🙏
Niunganishe nae nimuongezee mtoto wa pili....ila sielewi kwa nini wanawake wanapenda kutupa lawama kwa Mwanaume...hvi Adam alivyorubuniwa na Eva kula tunda alitupa lawama kwa Eva???Au ndio karma ya kijinsia?malipo ni apa apa duniani...
 
Back
Top Bottom