Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Ukiombwa hela ni nia mbaya, we ukiomba utamu sio nia mbaya? Acha hizo buana mambo ni kupeana...Shida sio kutoa hela, kiuhalisia wanaume tunapenda sana kuwapa hela wanawake tunaowapenda.
Shida ni kuwa wanawake wengi mnaoomba hela mnakua na NIA MBAYA na sisi wanaume mnaotuomba hela, na sisi wanaume huku rohoni we can sense it, yani mwanaume kuna saa ukiombwa hela na mdada unajua hapa natapeliwa, naigiziwa, na mdada hana hisia kabisa na mm, yuko na mm sababu ya hela tu.
Wanaume hatutaki kupendewa hela ndo maana tunalalamika tukiombwa hela na wadada Shunie Niwaheri Evelyn Salt Sky Eclat
Daah hongera kwa yaliyo kutokea,si wengine tunaishia kuyaota.Aiseee Kuna manz sikuwahig kuonana nae for the first time ilikuwa chatng tu za simu Kama miez sita hv Zaid ya kuona picha zake Mara ya kwanza kaomba 50k nikamtumia ikawa destur nikawa namtumia mazaga kila kitu.
Siku niliyokutana nae alikuwa Yuko good saana beautiful flan tukapata dinner moja matata Sana nikaenda mchekecha maini na Figo swafi.
Siku nisio itarajia yule manz aksema leo nakufanyia surprise nikawait Aiseeee nashangaaa muamala 1.5m imeingia bimdada alikuwa serious na mm Ila mm mambo yalikuwa meng
Haujatafiti vizuri hadi mwisho mkuu.Ni hali tete kila kona wanaume wanalalamika tabia za wanawake kuomba pesa. Siku hizi kumpata mwanamke asiyeomba omba pesa ni kama kuokota embe bolibo chini ya mchungwa. Wanawake wastaarabu wasiyo omba pesa ni kama wameshaisha siku hizi.
Wanaume wanalalamika unakutana na dada unampenda unafahamiana nae baada ya siku tatu unaorodheshewa matatizo gesi imeisha, simu imepasuka kioo, mama amekimbizwa hospital, luku imekata sasa hivi, nimepungukiwa kodi yani yote hayo unakuta anapewa boyfriend au mwanaume ambaye hata bado hajatamka nakupenda.
Kwa kweli ni janga wanaume wanaogopa wanawake, hawajui yupi ni wa kuoa vijana wanashindwa kupata wife materials kisa mizinga. Wamebaki kutoa hela ili wapate huduma ya ngono na wakitosheka wanakimbia mizinga wanahamishia kwa wanawake wengine kutafuta utamu mwisho wa siku kina dada wanalalamika siku hizi hakuna waoaji
We uliskia wapi???Kwahiyo mnataka muombwe nini?
Yet, mbona hata mukipata hao ambao hawaombi munawaharass na kuwanyanyasa?
Message ya ombi la kodi hio 😅😅😅ha ha ha
Kula pesa bana, shida iko wapi?[emoji1787]Na nyie wanaume baadhi muache tabia ya kufikiri kila mtu unampata ukimpa pesa
Kuna mmoja hajatongoza
Yeye asubuhi anatuma pesa ya breakfast,mchana atatuma ya lunch na usiku anatuma ya dinner...nafikiri hapo ndio anaona anatongoza
Kimsingi hakuna asiyependa pesa lakini inakera,husemi kitu wewe unatuma pesa tu!
Njoo geto uchukue[emoji23][emoji23]
Mtani naomba heraaa
Sasa hivyo ndo vizuri, anakusaidia tyuuh, akija kueleza shida yake una cancel. Case kwisha [emoji23][emoji23][emoji23]Na nyie wanaume baadhi muache tabia ya kufikiri kila mtu unampata ukimpa pesa
Kuna mmoja hajatongoza
Yeye asubuhi anatuma pesa ya breakfast,mchana atatuma ya lunch na usiku anatuma ya dinner...nafikiri hapo ndio anaona anatongoza
Kimsingi hakuna asiyependa pesa lakini inakera,husemi kitu wewe unatuma pesa tu!
Na ndo ukweli wenyewe.Hahahaaa hili ni janga kubwa kipindi hiki nadhan na wadada nao wamejua labda wanaume tunataka ngono sanaaa sikuiz so nao wanaona wasijetoa utamu afu wakaachwa hivihiv so wanaona nao wafaidike kidogo mapemzi yamekuwa kama mchezo wa kuviziana hivi.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Rudia kusoma vizuri nilichoandika
Hakuna nilipoandika pesa zinanikera
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wanawafundisha mpaka Kakazao, unakuta dume nzima na afya yake imetulia baa inaomba inunuliwe bia.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] bibi hivi unawazaga nini lakini?Tukianza kuomba pesa kwa wanawake wenzetu msilalamike
Mwanaume mwenye pesa hana maneno wala lawama, yeye ana deal na miamala tyuuh, [emoji23][emoji23][emoji23]Wanaume wa siku izi mnapenda kitonga, toka zamani mwanamke ni wa kupewa! Msipo ombwa hamtoi ndo kujidai kusifia nina mwanamke wa tofauti[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] unangoja umuite hata nauli humpi, mara mmekula uanze kumkopa eti umalizie bill, kodi hujalipa lakini unataka umlale mwanamke nyumbani kwake alikopanga, pesa hujampa Ila utataka umtembelee akupikie, [emoji57][emoji57][emoji57][emoji57] kipindi iko nadate na mpenzi jamani ela unapewa adi unanunua kiwanja bila kuomba omba wanaume walikuwa wanayajua majukumu yao vizuri........ila wanaume wengi mnaolalamika kuombwa ela nahisi pesa zenu za mawazo sana! Kuna wanaume bado wanajua kutoa pesa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mommy bhana, ukauliza kabisa yaan.Wala hata msiwalalamikie wanawake tu! Siku hizi mapenzi hakuna!
Wanaume wanataka ngono tu kupiga na kusepa halafu baadaye waanze kuwacheka wanawake waliopita nao kuwa ni malaya kwa kuwa wao wanaume hawana cha kupoteza! Mwisho wa siku wanawake wanaona angalau wawapotezee na ninyi pesa zenu!
Kuna mmoja niliwahi muuliza kama wanawake wakiacha kuomba pesa ndiyo wanaume watawaoa! Akanijibu eti inategemea (kwahiyo nikajua kwamba wanawake kuomba pesa siyo sababu kubwa na pekee ya wanaume kutokuoa)!
Umemaliza kila kitu.Kama hautaki kuombwa pesa basi usiwatongoze mkuu ,wewe ubaki na pesa zako na yeye abaki na utelezi wake hapo itakuwa ngoma droo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mna hela nyie??
Unataka utelezi buree kwani huyo ni mama yako? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mbona wanawake wa huku mnatokwa povu hivyo? Kiujumla mimi nikishaanza kukutongoza ukileta habari za hela na block namba haijalishi ni pisi kali namna gani. Mimi kwangu utakula mistari kama hujaelewa basi, unaniomba hela kwani mimi baba yako ? [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sent using Jamii Forums mobile app