Wengi wapo lakin achana na penzi la zamani tena kama hamkuachana kwa visa, kulikumbushia huwa linanoga sana.
Wanawake wabaya sie smtime jaman.....ila si wote.pole sana kaka angUnafanyaje sasa na urojo unadondokea kwa watu wengine..... yani nyie mnatutesa kweli...
Kazi ya kurudia matapishi wanafanyaga mbwa
Hahaha!unazani hao wanne ni wachache ama nirahisi kuthubutu kuropoka ukweli.Moyo wake ndio unaojua ukweli, hapo amejibu tu kufurahisha jamii! Swali hili huwa halijibiwi ukweli na wanawake hata siku moja!
Ivyo yaaaniAisee
Nlisikia umeolewa etIvyo yaaani
Kwahiyo kwasasa upo single? Naweza kuja pm tukaongea wawili matatuAiseeee sijaolewa Ila katika kitu sijawai na Wala sifikirii kufanya ni kuliwa na ex wng.
We are done....we are done.
Uzuri wanakijuaga kichwa changu hawathubutugi ata kuniongelesha useng* huo.na sijawai achana na mtu kiugonvi wote kiroho safi.wakinipigia ni kulaumu baada ya kuumizwa huko ama wamenikumbuka tu.
Nipo double kwakweliKwahiyo kwasasa upo single? Naweza kuja pm tukaongea wawili matatu
Bado naweza kuja ili iwe TripleNipo double kwakweli
Situmiagi hiyo triple.siku njemaBado naweza kuja ili iwe Triple
Nje ndo kutiwa wapi sasaAisee kumbe na wewe unatiwa nje?
manengelo ame like post zote kwenye hii sredi
nitake radhi mamlae...sema dogo