Konda wa bajaj
JF-Expert Member
- Sep 10, 2024
- 604
- 918
Cc HarmonizeAisee mimi ni mwanaume ila wanaume wafupi wanaudhii yaani hata ukimuangalia anatia huruma hasa akiwa na kitambi daah..
Sikosoi uumbaji wa Mungu ila mwanaume kuwa mrefu inapendeza bana
Weka picha mkuuAisee mimi ni mwanaume ila wanaume wafupi wanaudhii yaani hata ukimuangalia anatia huruma hasa akiwa na kitambi daah..
Sikosoi uumbaji wa Mungu ila mwanaume kuwa mrefu inapendeza bana
Nyege tu zinawasumbuaβΊοΈWakiwa na hela mbona warefu tuu,tena tunawaona "majentomeni" kabisaa yani,Yani full package..
It seems, huyo short hakulipia show, ujifunze kusimamia biashara, Prepaid arrangent ndyo safeπ€£π€£π€£π€£
Ata hivyo ni bora hatukufika mbali, alikuwa anakwangua mfuko si mchezo; muda wote kichwa hakitulii, ni kujiandaa na kupigwa mizinga tu.Hana kosa, watu wakiwaona kwa mbali watamwelewa vibaya kuwa anatembea na mwanafunzi.
Haijawahi kuwaacha nyumaHa ha wanawake na pesa daah!
HaswaaaaπWakiwa na hela mbona warefu tuu,tena tunawaona "majentomeni" kabisaa yani,Yani full package..
Hahahaha kwakwel,,ila I like itMmmmh we mbona mlingoti sasa
ππππππKwahy jamaa ww hua unavutiwa na wanaume warefu tuu?
Tatizo lilianzia kwenye ufadhili wa USAID kwenye nchi zetu za afrika hususani TZ vijana wameleft group wameanza kuvutiwa na wanaume warefuππππ tunakushukuru sana TRUMP mwakalobo Kwa kulifuta Hilo shirikaMwanaume anaanzisha Uzi kuwa havutiwi na wanaume wafupi daah ππ
Dunia inaelekea wapi?
Uanaume unaelekea wapi?
Call me andunje bwanaAhsante my kijeba,.π₯³
Sawa, papaa andunje tajiriiiCall me andunje bwana
Unatisha we binti! πHahahaha kwakwel,,ila I like it
We nawe 6.3 nayo ni kutisha mbona kawaida sana.Unatisha we binti! π
Kwa mwanamke inatisha ingekua dume nisingeshangaa hata!!We nawe 6.3 nayo ni kutisha mbona kawaida sana.