Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio kweli
Vitenge navyo ni miongoniTutakimbia na Vitenge usijali 😜
wakitoka apo wanataka Trump awaonee hurumaMwamba waamerika wanasitisha ARV zao.....jihadhari.
wanapataje huo unono bila kula kupita kiasi?Unono uwe utapiamlo!Kivipi?
Kuwa na makalio makubwa ni maumbile haihusiani na matatizo ya mafuta.kuwa na mafuta kupita kiasi ni utapiamlo, hata kama huna kitambi.
Utapiamlo kwa matako?wapunguze hayo maumbile watapata magonjwa ya moyo
halafu africa sijui vipi eti tunasifia utapiamlo
Shibe hiyo Sasa!wanapataje huo unono bila kula kupita kiasi?
Kwani unaoUtapiamlo kwa matako?
Ndo ushazaliwa huku,sa itakuwaje 🤔
makubwa kiasi gani?Kuwa na makalio makubwa ni maumbile haihusiani na matatizo ya mafuta.
ndo natoa elimu adimu hapa mkuuUtapiamlo kwa matako?
Ndo ushazaliwa huku,sa itakuwaje 🤔
Ukubwa alioumbiwa nao.makubwa kiasi gani?
hicho ndicho ninachozungumzia.
Na mm napenda wanaume wa jogging jaman sipendi mwanaume aende jogging kavaa sijui mtarck la Yanga sijui mguo gani, yaana napenda avae pensi inayochora naniliu vzr yaan naweza kimbia bila kuchoka wala kuona njaa jaman, wanaume wote wa jogging mnaovaa pensi na tights nawasalimu kwa jina la kataa ndoaNyie mademu wa jogging mtakuja mtuuwe jamani
Mnavaa vinguo vya kututega
Sisi wanaume marijali tulishiriki jogging na marathon zenu, tutatoka tumemaliza kila kitu
Tusiige wazungu
Mwanamke wa kizungu hata avae kichupi hawezi kumshawishi mwanaume kihisia, huku kwetu maumbo ya kibantu afu umevà a ki skin tight huku wezele likienda na kurudi😂
Nakuja Dar Jumatano natafuta club ya jogging nijiunge nayo nifurahie unyama
Muhimu tunachukua namba na zoezi linakwisha
Mungu mwenye upendo anampa mwanamke unene ili afe kwa magonjwa ya moyo?Ukubwa alioumbiwa nao.
Mada inazungumzia makalio makubwa sio unene.Mungu mwenye upendo anampa mwanamke unene ili afe kwa magonjwa ya moyo?
Mbona kokobichi wapo wanaokimbia na majuba mkuuNyie mademu wa jogging mtakuja mtuuwe jamani
Mnavaa vinguo vya kututega
Sisi wanaume marijali tulishiriki jogging na marathon zenu, tutatoka tumemaliza kila kitu
Tusiige wazungu
Mwanamke wa kizungu hata avae kichupi hawezi kumshawishi mwanaume kihisia, huku kwetu maumbo ya kibantu afu umevà a ki skin tight huku wezele likienda na kurudi😂
Nakuja Dar Jumatano natafuta club ya jogging nijiunge nayo nifurahie unyama
Muhimu tunachukua namba na zoezi linakwisha
Jinsia yako?Na mm napenda wanaume wa jogging jaman sipendi mwanaume aende jogging kavaa sijui mtarck la Yanga sijui mguo gani, yaana napenda avae pensi inayochora naniliu vzr yaan naweza kimbia bila kuchoka wala kuona njaa jaman, wanaume wote wa jogging mnaovaa pensi na tights nawasalimu kwa jina la kataa ndoa
Et utapiamlo[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]wapunguze hayo maumbile watapata magonjwa ya moyo
halafu africa sijui vipi eti tunasifia utapiamlo
sio kweli.Hakuna mwanamke mnene kwa chini na hakuna mwanaume mnene kwa juu.