Wanawake mnafanya jogging na marathon mnatutega

Wanawake mnafanya jogging na marathon mnatutega

Sio kweli
1739038583497.png
 
kuwa na mafuta kupita kiasi ni utapiamlo, hata kama huna kitambi.
Kuwa na makalio makubwa ni maumbile haihusiani na matatizo ya mafuta.

Kua na kitambi ndio mafuta! Ukitaka kuamini mchukue mtu ambae hana asili ya makalio makubwa mlishe vyakula vya mafuta kama atapata mpododo zaidi ya kuongezeka kitambi tu.
 
Nyie mademu wa jogging mtakuja mtuuwe jamani
Mnavaa vinguo vya kututega
Sisi wanaume marijali tulishiriki jogging na marathon zenu, tutatoka tumemaliza kila kitu

Tusiige wazungu
Mwanamke wa kizungu hata avae kichupi hawezi kumshawishi mwanaume kihisia, huku kwetu maumbo ya kibantu afu umevàa ki skin tight huku wezele likienda na kurudi😂

Nakuja Dar Jumatano natafuta club ya jogging nijiunge nayo nifurahie unyama

Muhimu tunachukua namba na zoezi linakwisha
Na mm napenda wanaume wa jogging jaman sipendi mwanaume aende jogging kavaa sijui mtarck la Yanga sijui mguo gani, yaana napenda avae pensi inayochora naniliu vzr yaan naweza kimbia bila kuchoka wala kuona njaa jaman, wanaume wote wa jogging mnaovaa pensi na tights nawasalimu kwa jina la kataa ndoa
 
Nyie mademu wa jogging mtakuja mtuuwe jamani
Mnavaa vinguo vya kututega
Sisi wanaume marijali tulishiriki jogging na marathon zenu, tutatoka tumemaliza kila kitu

Tusiige wazungu
Mwanamke wa kizungu hata avae kichupi hawezi kumshawishi mwanaume kihisia, huku kwetu maumbo ya kibantu afu umevàa ki skin tight huku wezele likienda na kurudi😂

Nakuja Dar Jumatano natafuta club ya jogging nijiunge nayo nifurahie unyama

Muhimu tunachukua namba na zoezi linakwisha
Mbona kokobichi wapo wanaokimbia na majuba mkuu
 
Na mm napenda wanaume wa jogging jaman sipendi mwanaume aende jogging kavaa sijui mtarck la Yanga sijui mguo gani, yaana napenda avae pensi inayochora naniliu vzr yaan naweza kimbia bila kuchoka wala kuona njaa jaman, wanaume wote wa jogging mnaovaa pensi na tights nawasalimu kwa jina la kataa ndoa
Jinsia yako?
 
Back
Top Bottom