Kwahio nawewe ukinitamani ukanishawishi nikaingia line, itabidi tubinuawane bure [emoji23][emoji23][emoji23]Mwanaume si ndo umetaka [emoji3][emoji3][emoji275], umenikuta zangu sina habari ukanitongoza baba hizo sio shida zangu ni zako kwahiyo kubali tu matokeo[emoji28]
Mambo ya nipe nikupe,unanunuaa ukichoka unaondoka unaacha wengine waendelee kununua,wewe unahamia mahali pengineMi naamini mapenzi ni hisia, kila mmoja anaonyesha hisia zake kwa mwenzake na maisha yanaendelea.
Sasa kumekuwa na tabia kama ya kununua huduma, ili mwanaume apate penzi lazima amgharamie mwanamke, hata kama mwanamke ana kazi au biashara nzuri, bado ataomba apewe fedha; ukishindwa kumpatia, ndipo timbwili timbwili linapoanza.
Sasa mimi najiuliza, kama unauza si bora useme? Ili tujue tunanunua huduma. Na je, hisia zenu zipo kwenye pesa tu?
Maajabu yapo tu wewe mwenyewe unajikuta hadi unaanza kunena kwa lugha [emoji4][emoji23][emoji23][emoji23] sasa vipi yasiwepo maajabuSasa una uhakika gani kama mnakua mnapata wote raha, ukute kitu enyewe ndo ile mtu ukipiga chafya inatoka, au huna maajabu [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]wooooi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mi nilikutana na mdada tena mtumishi Idara nyeti akaniomba pesa ya kusuka, nilipomwambia mbona una kazi unashindwaje kusuka akanijibu kutumia pesa yake kusuka inauma sana
Kwahio nawewe ukinitamani ukanishawishi nikaingia line, itabidi tubinuawane bure [emoji23][emoji23][emoji23]
Maajabu yapo tu wewe mwenyewe unajikuta hadi unaanza kunena kwa lugha [emoji4][emoji23][emoji23][emoji23] sasa vipi yasiwepo maajabu
Nyie ndio mnapiga watu na vitu vizito[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]kuna kunena kwa lugha automatically na kuna ya kupanga ili umalize unachokifanya[emoji28][emoji28]
Ee nikuzagamue tu kwani panauma? Mbona unapata raha [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Eti usiombe hela kisa utaonekana unauza [emoji28][emoji28][emoji28]ila kukuzagamua akuzagamue anavyotaka
Chill mzeeUKABILA
Nyerere alikataza
Okay ndio nishafanya booking hivyoNdio
Kwa hiyo wasiokuwa na matako hawaombi hela?Si mnaangaliaga matako[emoji28][emoji28]ndo hayo sasa
Hapa umeongea pointi sana. Ke wote wangekuwa na uelewa kama wewe, dunia ingekuwa mahali bora na salama sana.Ila jamani wanaume mnaolalamika kwenye huu Uzi unaombwa hela hebu tunawaomba mkue wakubwa Sasa,yaani mkomae kiakili.Hakuna mapenzi bila kuhudumiana yaani hili Jambo Ni nature kabisa.Mwanamme unapomhudumia mpenzi wako inakuongezea Ujasiri na mamlaka na heshima kwa Yule unaemiliki.Hivi mwanaume unajisikiaje unachukua tu mwanamke unafanya Mambo yako then unamwambia tutawasiliana?Haya,anaogea sabuni gani baada ya hapo?anapaka nini ili aendelee kukuvutia,akija ananuka kikwapa unakuja kumtangaza hapa,kazi yenu kusema waoooh umependeza Sana, [emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]mmmh shauri yenu.Mpe mpenzi wako huduma kwa kadri ya uwezo wako,na usisubiri mpaka akuombe itakukera tu....kikubwa mpunguze makoloni mbona inawezekana tu ,Na mpunguze story za vijiweni wenzenu wanajifanya hawatoi kumbe ndio watoaji wakuu Nina mashaka Sana na Extrovert [emoji1787][emoji1787]
Kwani wanawake hawana hamu?Basi bakini na hamu zenu sio mnakuja kulialia huku kila siku na mambo ya kuombwa hela
ha ha ha bora mtuchukie ili tusiombweKuna maswali hata haipasi mwanaume kuyauliza yaani[emoji2297][emoji2297][emoji2297]
Tunawapenda kupitiliza ndio maana tunaomba.
Tatizo si kupendeza, bali hisia zenu zipo kwenye hela?Mpaka umemuona kapendeza ni pesa imeungua, kama unajiongeza utaombwa pesa saangapi, usione vya pendeza vimegharamikiwa.
Bora umekataa [emoji4] maana huyu mzee anaweza nipiku eti [emoji23][emoji23][emoji23]Ebu ukooo [emoji1787][emoji1787][emoji1787] yaani we mzee bwana ushawaza mambo zako za kugegedana tu