Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nilipiga hesabu haraka haraka nikatafuta namna ya kuipangua, mpaka leo hakuna mawasiliano
😂😂😂😂kwani gari bovu likoje?😂😂Demu mbovu ndio yukoje[emoji1]
Unakuta hadi Demu Bovu linang'ang'ania kuhudumiwa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Point ya 301 Ni kwamba pesa zangu utakula ila utazitapika mnk vzr San unapigwa show show
Ndio ile unatoka unakimbia na nanii umeishikilia mkononi[emoji3][emoji3][emoji3]tuzile kwanza hayo mengine badae
hizi gari ndogoLita100 anatumia gari gani uyo manzi mkuu?
Ndio ile unatoka unakimbia na nanii umeishikilia mkononi
Kwa kweli ninyi mmebarikiwa kufanya makadirioVyovyote vile 😅😅ila toa pesa mkuu wacha ubahili na uzuri wetu wengi hua hawaombi usichokimudu hata kama ni kizinga utapigwa kilichopo ndani ya uwezo wako
😂😂😂 hujakutana na mzigo weweAah wapi kwa kizazi hiki cha wanaume wala chips yai mchana na jioni [emoji28][emoji28][emoji28]
Ashejiongeziza akunda kumbwai hangi kuitangwa kuzaghamua du!
Ushe imi nkunda kukughua ni shingi nyingahi mndee? Ni seiasi
[emoji23][emoji23][emoji23] hujakutana na mzigo wewe
Kwa kweli ninyi mmebarikiwa kufanya makadirio
Ile ya 75 mwishoNaomba unitumie 50,000 kwenye ile account yangu
😂😂😂utaweza kuhimili kweli weweMzigo sio tatizo, je unaweza kuutumia baba[emoji3][emoji3][emoji3]au ndo apeche alolo
Ile ya 75 mwisho
[emoji23][emoji23][emoji23]utaweza kuhimili kweli wewe
Tatizo sijui kutoa hela sasa[emoji28][emoji28][emoji28]hakuna jipya
Tatizo sijui kutoa hela sasa