IamBrianLeeSnr
JF-Expert Member
- Nov 10, 2022
- 2,010
- 4,179
- Thread starter
- #21
Hahahaa! Weeeh! 😂😂😂😘Mimi mwanaume Mkuu...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahaa! Weeeh! 😂😂😂😘Mimi mwanaume Mkuu...
Jamani Shunie upo mrembo?Imekuwaje kwani [emoji23] ila nahisi sisi mashangazi haituhusu
Tulishapendwa kitambo tunakula Raha[emoji1787][emoji1787][emoji23] na uzee huu kweli tuanze kukimbizana na mapenzi woiiii
Ukajionea yanini mieeee penzi likaingia shubiri [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Niliomba ufutwe ameni kwaza sana baada ya kunipa za uso[emoji1787][emoji1787]
Nipo kipenzi changu za weweJamani Shunie upo mrembo?
[emoji23][emoji23][emoji23]Inanyesha kwa nguvu...tumegundua panapovuja
[emoji23] acha tuwaachie chipukiziTulishapendwa kitambo tunakula Raha[emoji1787][emoji1787]
Mbona hulka yako ya kidemuMbaba hapa naongea! 😂
Kukutana si ndio mwanzo wa kujuana??Ukweli mm ni dume ila sijawai kujuana na kukutana na mwanamke yeyote hapa jf uwa sipendi kukutana na mtu ambaye simjui kwangu mimi ni ngumu Sana.
Njema kabisa my dear, nafurahi kukuona naimani umzima wa afya kama mimi.Nipo kipenzi changu za wewe
Mkuu upo kama mimi,haitatokea eti nikutane na mtu wa JF au wa mtandaoni tu,simjui hanijui,Ukweli mm ni dume ila sijawai kujuana na kukutana na mwanamke yeyote hapa jf uwa sipendi kukutana na mtu ambaye simjui kwangu mimi ni ngumu Sana.
Huku watu wanavaa uhusika wa Ke na Me wakati mwingine... Usitake kujua jinsia we soma alichoandikaMbona hulka yako ya kidemu
Hutaki kukutana na mtoto mkare Mimi[emoji1787]Mkuu upo kama mimi,haitatokea eti nikutane na mtu wa JF au wa mtandaoni tu,simjui hanijui,
They say: Trust will kill you one day.
Sio kwa kupangana Sasa kutokea jf Maana Nina sababu nyingi naweza kukutana na watu wote lkn sio wanaotoka hapa jf neverKukutana si ndio mwanzo wa kujuana??
Unamatatizo kichwani nenda kwenye profile see my Identity broh! Am that alpha male! And very gentle one!Mbona hulka yako ya kidemu