Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 154,929
- 459,607
Namshukuru Mungu dear nipo mzima sana na nimefurahi kama na we uko vizuri kipenziNjema kabisa my dear, nafurahi kukuona naimani umzima wa afya kama mimi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Namshukuru Mungu dear nipo mzima sana na nimefurahi kama na we uko vizuri kipenziNjema kabisa my dear, nafurahi kukuona naimani umzima wa afya kama mimi.
Mna uhakika ni wanawakeWote ni mademu hao au ulikua unataka umuone Bantu Lady na Aaliyyah ndio useme kweli!
😂😂Mimi mwanaume Mkuu...
Bado kuna watu washida na utambuzi wa Identity zenu kwamba hazipo specific..at allSijaelewa
Watu wana wasi wasi na jinsi yake...😁Demu huyo mzee! 😂😂😂
[emoji23]Mimi mwanaume Mkuu...
Kutumia ID fake sio JF tu hata FB, IG, Dating sites zote ila ni maamuzi yako tu sababu unaweza kutumia uhalisia wako vile vile, ila suala la kuonana linaweza kutokea kama mkiwa na sababu hiyo labda biashara au connection flanSio kwa kupangana Sasa kutokea jf Maana Nina sababu nyingi naweza kukutana na watu wote lkn sio wanaotoka hapa jf never
Kunakuwa hakuna haja ya mimi kutumia I'd fake kama nitakutana na watu wa humu
Tukutane tujuane daktariKukutana si ndio mwanzo wa kujuana??
Ni mademu nyinyi acheni mambo zenu za kilesbian🤗🤗🤗Mna uhakika ni wanawake
aiseeTinder
Shega kabisa mwanangu, mama la mama nitamtoka kiaina. Kama vipi alfajiri nipandie hewani, wanaume kusapotiana hivi 🤣🤣🤣🤣😂😂
Sasa Bro kulikuwa kuna kazi ya kubeba zege kesho asubuhi mwanangu, nikushtue likwiri ama bado utakuwa umemkumbatia mama la mama..???
[emoji23] zaidi ya kutusoma tu uhakika hawanaMna uhakika ni wanawake