Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 154,929
- 459,607
[emoji23] Hakuna namna baba yeyooCheka mrembo wangu, kicheko ni tiba kamili. Acha tujichekee tu [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23] Hakuna namna baba yeyooCheka mrembo wangu, kicheko ni tiba kamili. Acha tujichekee tu [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
[emoji23] Nyieeeeee[emoji23][emoji23]
Nimechekaaa mpaka mate,
Haina noma mwamba, salamu kwa Shem, muambie Mr. Kipwipwi nitakuja kwa ajili ya zile chapati zake za ufuta..!!
Shega kabisa mwanangu, mama la mama nitamtoka kiaina. Kama vipi alfajiri nipandie hewani, wanaume kusapotiana hivi [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nyie jamani mbona kama mnawapatia [emoji38][emoji23][emoji23][emoji23]
Haina noma mkali wangu, ndiyo maana nakukubaligi kinoma, hunaga za kidemu..!!
[emoji23][emoji23][emoji23]Ni huzuni kwa kweli, mtu anajipinda kushusha mistari pm anaona haitoshi anakuja na hadharani kumbe dume lenzie linamchora tu [emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23] Halafu akija hadharani sasa majibu anayopewa sasa ya kumkata maini ila wanaume wa jf wana moyo wa pekee mtu humjui hujui anafananaje unaanza kushusha mistari mpaka kuweka na threadNi huzuni kwa kweli, mtu anajipinda kushusha mistari pm anaona haitoshi anakuja na hadharani kumbe dume lenzie linamchora tu [emoji23][emoji23][emoji23]
Namna ya nini tena Half
😂😂Nyie jamani mbona kama mnawapatia [emoji38][emoji23]
😂😂[emoji23] Nyieeeeee
Ndio dear, kisa cha kukutana na mtu ana mindevu imechachamaa kama brush ya chachandu nije kuota mie kitu gani [emoji23][emoji23][emoji23] Nimecheka kwa sauti dear
Ya kunikutanisha na daktari MariposaNamna ya nini tena Half
[emoji23] mbavu zanguNdio dear, kisa cha kukutana na mtu ana mindevu imechachamaa kama brush ya chachandu nije kuota mie kitu gani [emoji23][emoji23]
Umeanza 😂Ndio dear, kisa cha kukutana na mtu ana mindevu imechachamaa kama brush ya chachandu nije kuota mie kitu gani [emoji23][emoji23]
Weweee [emoji1787][emoji1787][emoji1787] mnaniuaaYa kunikutanisha na daktari Mariposa
Hivi umemuelewa kweli Dr mkareeee alichomaanisha [emoji23]Ya kunikutanisha na daktari Mariposa
Ni huzuni kwa kweli, mtu anajipinda kushusha mistari pm anaona haitoshi anakuja na hadharani kumbe dume lenzie linamchora tu [emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji23] mbavu zangu
Ooonho [emoji2960][emoji23]Umeanza [emoji23]
Nauli inaliwa alafu anakuja kulilia hapa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Anatuma na nauli [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kamaanisha nini nieleweshe 😅Hivi umemuelewz kweli Dr mkareeee alichomaanisha [emoji23]