Dr. Mariposa
JF-Expert Member
- Dec 2, 2014
- 3,264
- 10,535
Mishangazi tunawacheka kizungu tu hao vijana wanaopaparika kwa Avatar na Majina mazuri [emoji1635]Mishangaz haituhusu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mishangazi tunawacheka kizungu tu hao vijana wanaopaparika kwa Avatar na Majina mazuri [emoji1635]Mishangaz haituhusu
Hatuna hiyo chemistry tatizo [emoji1783]Tukutane tujuane daktari
Kiusalama hapana kila siku nacharurana na wakina mwigulu na makamba humu halafu nikutane na mtu wa humu mh!!! SiweziKutumia ID fake sio JF tu hata FB, IG, Dating sites zote ila ni maamuzi yako tu sababu unaweza kutumia uhalisia wako vile vile, ila suala la kuonana linaweza kutokea kama mkiwa na sababu hiyo labda biashara au connection flan
😂😂Shega kabisa mwanangu, mama la mama nitamtoka kiaina. Kama vipi alfajiri nipandie hewani, wanaume kusapotiana hivi 🤣🤣🤣🤣
Hapo sasa nimekuelewa [emoji23][emoji23][emoji23]Kiusalama hapana kila siku nacharurana na wakina mwigulu na makamba humu halafu nikutane na mtu wa humu mh!!! Siwezi
Ayo nitafanya instagram, telegram, whatsapp etc but sio hapa weeee[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji125]
Come again,sijakusoma.Hutaki kukutana na mtoto mkare Mimi[emoji1787]
Tukikutana tutaipata hiyo ChemistryHatuna hiyo chemistry tatizo [emoji1783]
Asante sana nami nakukubali mbaya mshkaji wangu, pamoja sana bro 😅😅😅😅😂😂
Haina noma mkali wangu, ndiyo maana nakukubaligi kinoma, hunaga za kidemu..!!
[emoji23] kumbe baadhi vidume wenzaoMishangazi tunawacheka kizungu tu hao vijana wanaopaparika kwa Avatar na Majina mazuri [emoji1635]
Ebu hurumieni mbavu zangu [emoji23]Shega kabisa mwanangu, mama la mama nitamtoka kiaina. Kama vipi alfajiri nipandie hewani, wanaume kusapotiana hivi [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Walaaaa haiwezekani,Tukikutana tutaipata hiyo Chemistry
Cheka mrembo wangu, kicheko ni tiba kamili. Acha tujichekee tu 😅😅😅😅Ebu hurumieni mbavu zangu [emoji23]
Oohoo kambi imevamiwa huku Lovie Lady 😂😂Asante sana nami nakukubali mbaya mshkaji wangu, pamoja sana bro 😅😅😅😅
😂😂Asante sana nami nakukubali mbaya mshkaji wangu, pamoja sana bro 😅😅😅😅
Ni huzuni kwa kweli, mtu anajipinda kushusha mistari pm anaona haitoshi anakuja na hadharani kumbe dume lenzie linamchora tu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kumbe baadhi vidume wenzao