Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Hautafika mbali πOoonho [emoji2960][emoji23]
Ewaa, kuna mmoja alifunguka alichofanyiwa nauli ikaliwa na matusi kwa dume mwenzie akashushiwa,[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Anatuma na nauli [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nauli inaliwa alafu anakuja kulilia hapa[emoji1787]
Kumbee[emoji23][emoji23]Ndo maana nimemuita Tinder
Kwanin πWeweee [emoji1787][emoji1787][emoji1787] mnaniuaa
Nyie wanaume hapatani na nyie kabisa na anawaogopa mtamtisha na midevu yenu[emoji23] ye anapenda kukutana na sisi wanawake wenzie ndio roho yake inaridhika Dr mkareeeee kipenzi uwongo Dr. MariposaKumaanisha nini nieleweshe [emoji28]
Ewaa, kuna mmoja alifunguka alichofanyiwa nauli ikaliwa na matusi kwa dume mwenzie akashushiwa,
[emoji23][emoji23][emoji23]
Mbavu zangu[emoji1787]Kwanin [emoji28]
Usiseme wanaume wa jf,hao washusha hizo thd ni Wavulana,wanaume hatupo hivyo.[emoji23] Halafu akija hadharani sasa majibu anayopewa sasa ya kumkata maini ila wanaume wa jf wana moyo wa pekee mtu humjui hujui anafananaje unaanza kushusha mistari mpaka kuweka na thread
Ile kibingwa kabisa baharia wangu, zimefika, mtoto anapika chapati tamu, kama anakuwa mtupu ππππ pamoja sana brohππ
Nimechekaaa mpaka mate,
Haina noma mwamba, salamu kwa Shem, muambie Mr. Kipwipwi nitakuja kwa ajili ya zile chapati zake za ufuta..!!
[emoji23]Usiseme wanaume wa jf,hao washusha hizo thd ni Wavulana,wanaume hatupo hivyo.
π
[emoji23] Acha nilale sasaIle kibingwa kabisa baharia wangu, zimefika, mtoto anapika chapati tamu, kama anakuwa mtupu [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] pamoja sana broh
Hapo nimekuelewa mama π€Nyie wanaume hapatani na nyie kabisa na anawaogopa mtamtisha na midevu yenu[emoji23] ye anapenda kukutana na sisi wanawake wenzie ndio roho yake inaridhika Dr mkareeeee kipenzi uwongo Dr. Mariposa
Nimekupenda bure my dear Shunie, asipoelewa na hapo basi tena tumuachie Mungu tu [emoji28][emoji28]Nyie wanaume hapatani na nyie kabisa na anawaogopa mtamtisha na midevu yenu[emoji23] ye anapenda kukutana na sisi wanawake wenzie ndio roho yake inaridhika Dr mkareeeee kipenzi uwongo Dr. Mariposa
ZimefanyajeMbavu zangu[emoji1787]
daktari huyo Mungu unaemuachia anakuonaNimekupenda bure my dear Shunie, asipoelewa na hapo basi tena tumuachie Mungu tu [emoji28][emoji28]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hapo nimekuelewa mama [emoji850]