Wanawake mnawezaje kuishi na mwanaume anayefokafoka?

Mamy K said:
Huko kwenye kumpea hafoki, kwanza sijawahi kumnyima toka anioe....ye mwenyewe anakiri hilo.
Ila hebu fikiria labda namtengea chakula, bahati mbaya wakati naweka glass mezani nikosee hesabu glass ijigonge, jamani atafokaaa, Yani atanifokea Kama mtoto.
Mkuu, nimekumbuka kitu.

Kuna rafiki yangu mmoja alishawahi kuniambia/kuniuliza kwamba, huwa namchukulia vipi mke wake ninavyomwona?

Upole uliopitiliza nao ni shida kwa upande mwingine! Kwamba, wewe kila kitu unakubali tu hakuna hata kubisha kidogo.

Nahisi hapo kutokumnyima mumeo uroda hata siku 1 ndio kuna tatizo. Ameshakuchukia vile anakugusa tu unapanua kwamba ukikutana na baharia unalambisha asali. Huna hata amsha amsha, umnyime akubembeleze kwanza!

huenda anakuchukulia mwanamke malaya, unapenda sana ukuni! Siku ambazo hayupo ukikutana na mjuba anatelezesha tu na vile hujui kukataa.

Jichunguze na hili nalo ukalitazame kwa kina! Huenda mumeo ni aina ya wanaume kama rafiki yangu.
 
Uchumi wake upoje?

Umepanda au umeshuka ukilinganisha na kabla!
 
Muombee mume wako mnachonganishwa na roho za hasira na ugomvi.
 
Kwanza mnunie week nzima usimuongeleshe
Pili kama una mtoto mdogo ndio vzr siku akikufokea fungasha virago vyako mchana kweupe muage unaondoka ILA chonde mtoto wake mwachie mwambie tu huyu jini mavoko akisha mtoka ndio utarudi kwake
 
Labda unatabia ya kurudia rudia makosa mfano hilo la kuzima Tv kwenye socket madhara yake utaunguza Tv.

Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
 
😅 naona kuna wapumbavu wanakushauri uachane naye, jichanganye ufuate ushaur wa wapuuzi kwasabab hutapata mwanaume mkamirifu na inaonekana hio tabia amekua nayo hivi karibuni kwahio wew jichunguze unamkosea wapi ili uweze kubadirika na aache kukufokea... Ukiona vipi Achana nae utapata mwanaume malaya anatomba hadi dada zako, au mlevi akiondoka ijumaa anarudi jumapil alfajiri kubadirisha nguo aende job... Enjoy your fucking marriage
 
Unaogopa kubondwa?!
We endelea na mambo yako na usimwambie tena kuhusu kufoka kaa kimya kabisa, siku ukichoka kweli atajua rangi ya mwanamke alochoka na ********
 
Huko kwenye kumpea hafoki, kwanza sijawahi kumnyima toka anioe....ye mwenyewe anakiri hilo.
Ila hebu fikiria labda namtengea chakula, bahati mbaya wakati naweka glass mezani nikosee hesabu glass ijigonge, jamani atafokaaa, Yani atanifokea Kama mtoto.
Kanda maalumu nini a.k jita maana wale ndiyo zao hawanaga lugha ya mawasiliano.
 
Kuna wengine ni tabia zao kufoka foka tena ukute ni dakika 1--2, ujue lazima ajihami ili ajulikane kama yupo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Akili za bangi, unajua kuna wale watu ambao wakiwa tumboni mama zao wanapitia mambo magumu sana yana hadhiri mpaka mtoto, na malezi pia huchangia
 
Hahaaa wew dada umekuja kutuchekesha uku
[emoji23][emoji23][emoji23] Eti kukozea kuzima tv anafoka jmn kabila gani huyu jamaa
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Sitanii asije kuwa ana vidonda vya tumbo...


Kuna baadhi ya magonjwa yanafanya mtu anakua na hasira sana.
Kitu si kitu una mind tu.
 
Mwanaume ambae anaweza kuwa na mwanamke Kama wewe kwanza apewe heshima yake. Mwanamke gan huna akili hata moja
 
Kumbe tv hupaswi kuzima sirect kwenye socket😲😲😲😲
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…