shuka chini
JF-Expert Member
- Feb 27, 2024
- 842
- 1,928
Habari za muda huu wadau .
Moja kwa moja kwenye mada ipo hivi mimi ni baba wa familia mwenye mke na mtoto mmoja .
Nimekuwa nikiacha matumizi hapa nyumbani sasa ajabu kila siku ninaacha matumizi hapa nyumbani nakuta mboga za ajabuajabu.
Nikaanza uchunguzi wangu taratibu katika fukunyuafukunyua nakutana na daftari limeandikwa majina matatu, lake na wamama wawili . Wanacheza mchezo na nimegundua mahali anapoficha hela .
Sasa wadau nizichukue au nisubirie ziwe nyingi kidogo. Yeye mke wangu anajua sijui kama kuna mchezo wanacheza na hapa nataka nimpige marufuku.
Moja kwa moja kwenye mada ipo hivi mimi ni baba wa familia mwenye mke na mtoto mmoja .
Nimekuwa nikiacha matumizi hapa nyumbani sasa ajabu kila siku ninaacha matumizi hapa nyumbani nakuta mboga za ajabuajabu.
Nikaanza uchunguzi wangu taratibu katika fukunyuafukunyua nakutana na daftari limeandikwa majina matatu, lake na wamama wawili . Wanacheza mchezo na nimegundua mahali anapoficha hela .
Sasa wadau nizichukue au nisubirie ziwe nyingi kidogo. Yeye mke wangu anajua sijui kama kuna mchezo wanacheza na hapa nataka nimpige marufuku.