Toka lini wewe ukawa muoaji?Ninakuombeaje mema wakati mie ndio nilikuwa nataka kuwa mume wako sema umaskini ndio umenifanya nikukose🤣🤣🤣🤣
Mie mbona muoaji long time tuu tola wakiti ule nakutomgkza pm. Au ndio unataka unikane ata hapa hadharani pia.Toka lini wewe ukawa muoaji?
[emoji23]Mie mbona muoaji long time tuu tola wakiti ule nakutomgkza pm. Au ndio unataka unikane ata hapa hadharani pia.
Andunje anafaidi jamani
Ndo umenigaya au sio
🤣🤣🤣Huu uzi wataupita kama hawauoni, 😅View attachment 2571915
Poa vp wewe
Nzuri tu kwako je
Ilifika kipind kila mrembo nikimchombeza jukwaani mnasema wewe kaka tabia zako sikuwezi 😅Sikuhizi umepoa sana
Ndo shida inapoanzia tukipata vihela baasi tunajiona tuko juuNdoa ni kitu kizuri na baraka Kwa wenye akili na uelewa tu.
reymage upo sahihi sana financial freedom inawafanya wanawake wajione kuwa wameyaweza maisha kiasi cha kuanza kukiuka misingi ya mwanamke. Kamwe huwezi na hupaswi kujifunza kwa alieshindwa.
Msemo halisi ni kuwa pepo yako iko chini ya unyayo wa mama yako....Tena siye waislam tunaambiwa kabisa Pepo yako iko kwa mumeo
Za kunisusa