Wanawake ndoa ni utii, acheni kujaza ujinga wadogo zenu

Hayo usemayo yako Afghanistan na Saudi Arabia - Siyo hapa Tanzania
Sheria na kanuni zetu zinampa mwanamke haki ya elimu na ya kumiliki mali na ya uongozi
Ukitaka mwanamke akutii na akunyenyekee basi nenda kwa Taliban siyo hapa Bongo ambayo ni sekula. BADILIKENI !!!
 
Natarajia kuolewa hivi karibuni naomba uwe kungwi wangu๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Mamy K baada ya yote mazuri uliyosema kuhusu mke mwema, naongezea mke pia awe mtundu kitandani mume atafurahi zaidi.

Mtuonyeshe mahaba kunoga msituonee aibu hakuna mume atakayekuona malaya bali atainjoi.

Fungukeni nini tuwafanyie mfurahie shoo
Nilikua napekua hii comment hatimae [emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hua nawaza nyumba kama chombo kinachopaswa kuendeshwa, hivi chombo kinawezaje kwenda na kufika destination yake kikiwa na madereva wawili na wote wanataka waendeshe kwa wakati mmoja? Ni ngumu sana chombo kitaenda mlama tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ