"Na nyie wanaume wajinga mnaojikuta gentlemen na kuingia gharama kuwafurahisha hawa indirect prostitutes nawaambieni ukweli hawa kausha damu wanawaona mafala tu na wataendelea kuwatumia kwa masilahi yao kwa sababu ya ujinga wenu"

Sahihi kabisa na hum wapo wengi Sana wa Aina hio tena wachafu balaa
 
Umepuyanga
 
Akili ikizidi Sana ni ujinga Tu.

Hiko kimombo unaona umetema madini enh?

Any way umesema kweli
 
Majinga sana haya
 
Malalamiko ya hivi huwezi kuyapata kwa mwanaume mwenye pesa.

Tutafute hela jamani tuache kufokafoka kama umbwa.
 
Malalamiko ya hivi huwezi kuyapata kwa mwanaume mwenye pesa.

Tutafute hela jamani tuache kufokafoka kama umbwa.
Hela tunatafuta, sema unatoa kwa mpalange kwa shilingi ngapi tuongee biashara.
 
Duh uyo jamaa ni mkoloni aisee.wanapalilia/wanalima ?
 
Kama hayo mahusiano ni mutual and fair, kwanini mwisho wa siku wakiachana halafu mwanaume akachelewa kuoa, na mwanamke akachelewa kuolewa anayetukanwa ni mwanamke

Na kwanini kwenye hayo mahusiano ikitokea wamepata mtoto, wakija kuachana anayetukanwa ni mwanamke na kuitwa single mother, ushawahi sikia mwanaume anatukanwa ni single father

Na kwanini kwenye hayo mahusiano ikitokea wameachana, halafu kila mmoja wao akapata mtu mwingine, mwisho wa siku anayetukanwa kuwa anabadilisha wapenzi na kuitwa malaya ni mwanamke

Na kwanini hamtaki haki sawa ikiwa mnalazimisha na wanawake nao watafute pesa kama mnavyotafuta ninyi, kwanini hamtaki haki sawa na kusema kwamba mwanaume na mwanamke hawawezi kuwa sawa, bado mnataka muwatawale ila hapo hapo mnataka majukumu sawa

Na kama hilo tendo wote mnalifaidi kwa usawa, kwanini wanaume ndio wana uhitaji mkubwa sana wa hilo tendo kuliko wanawake kiasi cha wao kulihangaikia sana kwa kutoa pesa, na je wanawake wakiacha kuwaombaomba pesa ndio mtawaheshimu na kuacha kuwachezea
 
ukweli mchungu ni kwamba, kitu kinaitwa kausha damu au vikoba, vinafanya wake za watu wengi sana wazini. mtaambukizana magonjwa hadi mkome kwasababu ya vikoba na kaushadamu. ukiwa na mke ana tabia hiyo, jifanye mjinga, uliza tu tarehe ya kulipa lini, mpe pesa akalipe basi, kama humpi, anajua yeye atakakozitoa na huwa hawapitishi siku.
 
Wewe ni mmoja kati ya wanaume wajinga niliowasema hapo juu.
Hapa ndipo unapofeli mtu anaandika hoja badala ya kuijibu unakimbilia kutukana comments zako nyingi unaishia kutukana tu sasa nani atazitilia maanani nyuzi zako, utaishia kuambiwa tafuta pesa upunguze makasiriko wanawake wataendelea tu kuhongwa upende usipende haijaanza leo wala haiishi kesho, walikuja wengi kama wewe na nyuzi kama zako mwisho wa siku wakapotea na hiyo lifestyle inaendelea so nigga stay calm and save your energy
 
Je hao wanawake waliokuwa waongozwa na upendo walifanyiwa yepi mema in return na wanaume wao, zaidi ya wanaume kuwachezea tu na kisha kuwatukana kwamba wanawake ni viumbe wanaojirahisisha kwa kutoa bure, hivyo wanawake wakaona kwanini wapoteze nguvu kwa viumbe wasio na shukrani wakaamua waanze kutoza hela na matokeo yake ndio haya wanaume kujilizaliza na kujilalamisha kama vivulana
 
Wakishampukutisha mwana pesa yake ya kubet aliyompiga mhindi wanahamia kwa mwingine sasa huo kama sio umalaya ni nini? halafu midomo mirefu eti mwanamke anatakiwa kuhudumiwa. Yaani malaya anataka apewe huduma za hadhi ya mke, this is total bullshit.
Buddah sasa si uachane na hao malaya uoe ili uhudumie mkeo
 
Hiyo mijimama iliyotumika na kuchoka nayo ndio mbususu unazojisifia kwamba unachakata, unalalamika wanawake kuhongwa wakati huo wewe mwenyewe ulisema unatembea na mijimama ili ikuhonge sasa hapo tofauti yako na hao wanawake iko wapi au unawaonea wivu tu, wewe mwenyewe mdangaji tu halafu kutwa kuwasema wadangaji wenzio hebu tafuta pesa kijana stress zitakuua
 
Wewe ni mwanamke au mwanaume?
 
Wakishampukutisha mwana pesa yake ya kubet aliyompiga mhindi wanahamia kwa mwingine sasa huo kama sio umalaya ni nini? halafu midomo mirefu eti mwanamke anatakiwa kuhudumiwa. Yaani malaya anataka apewe huduma za hadhi ya mke, this is total bullshit.
Hivi inakuaje mnakua na mahusiana na hao malaya??🤣
Si utafute mnaeendana mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…