Weeeeeeeh[emoji50][emoji50]
 
Wanaume tunazidi kupotea.
Kumbuka kwenye biblia Mungu alimwambia Nini Adam na Hawa aliambiwa Nini.
Mwanamke kapewa uzuri,umbo la kuvutia lakini hajaumbwa kutafuta.
mwanamke anatakiwa akae nyumbani apelekewe kila kitu.
Ndo maana sisi waislam tumeruhusiwa kuoa wake 4.kupunguza GAPE la wanawake ambao hawajaolewa na hawana vipato.
 
Mbona huko ulaya ndio zaidi, wenzetu maisha ni 50-50. Inabidi wanaume wa kitanzania waige lifestyle ya ulaya ili waweze kumudu maisha, otherwise wadada wa mjini wanakukausha wallet hivi hivi.
Mkuu Eli naelewa fika na ndio maana ulaya mtu kuanzisha mahusiano hovyo hovyo ni ngumu huwa wanaheshimu sana hili swala kwasababu wanaelewa shida ya 50/50 tofauti na huku

Huku unakuta mtu ana wanawake 04 na kuendelea sasa hapo unategemea nini hali yenyewe ndio hii kila mtu anavutia kwake

Yan kwakifupi mtu wa aina hii hajui thamani ya mahusiano, hajitambui na hayaheshimu mahusiano yenyewe.
 
Tatizo hamuombi ila mnaomba omba...
 
πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜… labda awe na kazi athawais unapangwa kuna mwenzio anatoa hvo vitu
 
[emoji23] Hivi mnajua sisi ndo tunawafanya mtafute Hela [emoji23]
Ni kweli kabisa

Hasa mkiwa na chura ...ni motivation tosha kwetu

Yaani Unauza nyumba ya wazee wako kijijini bila wao kujua ili imradi pesa ipatikane ...wakitimuliwa watasaidiwa na halmashauri


Kweli ukiachia pesa magari na nyumba ni wanawake [emoji39]

na mwaka huu lazima niamie singida au mahenge ulanga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…