😂😂
 
Imekuwa kero.....kama taifa inabidi tujadili hili.
 
Ndyoooph shangazi akeee.
 
Ndio ukaamua kutumia kajina kangu ka zamani mkuu[emoji23][emoji23].
Hata hivyo nimekuelewa hoja yako vizuri mkuu[emoji122]
 
Mwanzilishi wa hii mada inatakiwa ujiulize ww binafsi.
Je ulishaomba wanawake wangapi mapenzi? Tusisemee madhaufu ya wadada zetu wakati sisi wanaume ndio wachikiliaji bango la sababu kuombwa pexa na wanawake kila kukicha
Na tujiulize sisi wanaume kwanini tunakua na papara la kutaka kufungua kufuli la mwanamke mliokutana mara moja?
Tusiwaponde wanawake kua ombaomba wakati chanzo cha ombaji tumekishikilia sisi wanaume....
Kila upande ujitafakari.
Hamna shetani wala daika ktk ulimwengu wa leo ....
 
Wewe ni limbukeni, haujui maandiko na unadanganywa. Wanawake wanatumia udhaifu wetu na ni viumbe hatari sana. Nenda kasome
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…