Wanawake punguzeni kuomba sana hela, imekuwa kero
so unataka kusema wanawake wanauza miili yao
Sharti na mti unapoupanda hakikisha unaumwagilia maji ili uweze kumea vyema,
sasa kama wewe unajua wanauza miili yao hilo mimi halinihusu,
Mwanamke anapaswa kulelewa kudekezwa kupewa hela hata bila kuombwa nk,
sasa kama unaona ugumu kutafuta hela halafu unakuja kuanzisha nyuzi wanapenda hela basi fungua kanisa uwe mchungaji wakupe hela full stop
 
Mwanamke ukiona anakuomba sana hela jua hajakupenda ila antaka apate tag kutoka kwako...

mwanamke anaekupenda kwa dhati hawezi kukuomba hela Kila mara kwa sababu zifuatazo.

1. Kutokana na upendo wake wa dhati kwako anaona aibu kukuomba hela hata kama anashida kiasi gani atatafuta namna nyingine ya kutatua shida yake.

2 .kutokana na upendo wake Wa dhati ataogopa kukuomba hela kwa kuhofia kukupoteza maana anajua inaweza kupelekea mwanaume kumuacha.
Akiyekwambia kuna mwanamke ana mapenzi ya kweli nani?
 
Sawa hali imekua ngumu, lakini sasa ndio nyie wanawake mtugeuze sisi wanaume kitega uchumi chenu. Badilikeni aisee, vinginevyo mtakosa wa kuwaoa kwa wanaume kuwaogopa

kabisa wabadilike kabisa
 
ukiombwa ela na mtu unayemjali at the right time unampa tu hakuna shida... kwanza kuna ile feeling ya mwanaume ukiwa unatatua matatizo na ku provide security unajiskia vizuri flan... tumeumbiwa kuwa providers iko hivyo hauwez kimbia uhalisia
 
Simu yako ni laki 980000 haya ila jua hili asilimia 60 kwenye mia walahi naapa wanaume niomba omba humu na pengine pia.
Just imagine mwanaume anakupigia simu babe naomba unitumie vocha unamtumia babe naomba unitumie nauli auhi unatuma babe nimekwama naomba elfu 25,000 naomba vocha ya 10 voda nusu na tigo nusu weeh kanifanya crdb au benki ya ujamaa .

Hapana aisee basi tuachane hivi nyie mamarioo unadhani mtu mwenye hela angekuwa yupo home sianaomba tu .

Eti wanawake ni omba omba sio kama nyie aisee na ukipata fulsa unaitumia kwa maana mwenzako ataitumia tu epuka kuchunuwa ewe mwanamke kwa sababu tuiadhibiwa kuzaa kwa uchungu tu iweje tunakubali kuwalea hadi wanaume??

[emoji23][emoji23] ndugu unafeli sana nina simu 5 hiyo Samsung ndo simu ya kuchat chat ushubwada na ndo namba ya michepuko so simu isikuumize kichwa kabisa leo nimekujibu na iphone kesho ntakujibu na tecno
 
kuna utofauti wa kuomba ndugu
1. kuna kuomba kwa kumfata mtu face to face au ubapigiwa simu ya maongezi( hii ndo serious mtu ana shida kweli)

2. kuna nikwmabie kitu ( hii wanatumia waunii tu wasiokuwa na mbele wala nyuma.. hii ni utapeli)
Ooh sawa
 
Wanaume tunazidi kupotea.
Kumbuka kwenye biblia Mungu alimwambia Nini Adam na Hawa aliambiwa Nini.
Mwanamke kapewa uzuri,umbo la kuvutia lakini hajaumbwa kutafuta.
mwanamke anatakiwa akae nyumbani apelekewe kila kitu.
Ndo maana sisi waislam tumeruhusiwa kuoa wake 4.kupunguza GAPE la wanawake ambao hawajaolewa na hawana vipato.

kweli kabisa
 
Mwanzilishi wa hii mada inatakiwa ujiulize ww binafsi.
Je ulishaomba wanawake wangapi mapenzi? Tusisemee madhaufu ya wadada zetu wakati sisi wanaume ndio wachikiliaji bango la sababu kuombwa pexa na wanawake kila kukicha
Na tujiulize sisi wanaume kwanini tunakua na papara la kutaka kufungua kufuli la mwanamke mliokutana mara moja?
Tusiwaponde wanawake kua ombaomba wakati chanzo cha ombaji tumekishikilia sisi wanaume....
Kila upande ujitafakari.
Hamna shetani wala daika ktk ulimwengu wa leo ....

mnachanganya sana kwani penzi ni hela? maana nikiitaji vocha nitatoa pesa sasa Hilo penzi limekuwa bidhaa?
 
Ifikie hatua muone ni jambo la kawaida. Sababu tangia muanzage kulalamika si leo.

hakuna kuona kawaida... mwanamke ni kama mwizi tu ukimpa hela unabaki nyuma kuendelea kupambana wakati ile uliyompa inekupigisha hatua
 
Back
Top Bottom