cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kusahau tena?? LolMbona wanafanana[emoji28][emoji28]... Anyway, namie mwaka huu itabidi nimtafute Binti mmoja tuifanye ya hivi, tena ya usiku ili tukitoka tu church tukaendelee na fungate then pakikucha fungate inaisha na majukumu mengine yanaendelea kama hakikutokea kitu[emoji23][emoji23][emoji23].
Sema ndoa za hivi achilia mbali watu wenu wa karibu bali kuna muda hata nyie wenyewe mnaweza kujisahau kama mlishafungaga ndoa tayari.