Bantu Lady
JF-Expert Member
- Jan 9, 2014
- 8,900
- 28,398
Thanks Jchris14 Jamani, barikiwa sana sana. Merry Christmas 🥂Not all Bantu Women are bad mkuu, kuna wanawake wengi tu wanaroho nzuri sana na ni watu smart sana legacy na malezi ya familia zilizowakuza sometimes zinawafanya kuwa na tabia za hovyo.
Nitoe mifano kadhaa ya smart and good ladies ambao nawajua kiasi chake hapa JF. Bantu Lady & Leejay49
Ooooh😍😍Not all Bantu Women are bad mkuu, kuna wanawake wengi tu wanaroho nzuri sana na ni watu smart sana legacy na malezi ya familia zilizowakuza sometimes zinawafanya kuwa na tabia za hovyo.
Nitoe mifano kadhaa ya smart and good ladies ambao nawajua kiasi chake hapa JF. Bantu Lady & Leejay49
MwambaaMoja ya mambo huwa siyapendi kutoka Kwa wabantu black women ni uchoyo na roho mbaya na njaa ya chakula.
Mimi huwa naonaga black women walipewa maumbo mazuri Ila akili 0%
Mfano tangu nikae nao hawa black women ukimuhalika kwako akiona misosi anatoa macho Sana akiona umegawa chakula umewapa majirani anachukia na akiona umspend na marafiki siku nzima mkila na kunywa Kwa hela zako anaumia pia .
Ikiwa namshauri Kijana ajaribu kutafuta ngozi nyeupe akikosa kabisa ndo afikirie kuzaa au kuoa mbantu.
Mimi kikawaida huwa sina mazoea na Mwanamke wa kibantu kwakuwa najua hatuwezi kuendana maana Mimi ni MTU yule napenda kusaidia kila MTU .
Siwezi kuona majirani wanakosa chakula huku Mimi nimeweka stock ndani I can't do that shit
Stay away with black women
Au nasema uongo mkuu?Ooooh😍😍
Tatizo unakula sana mpaka ukamwagia chai yule jamaa punguza kula ona sasa umekua bongenyanya umefutuka balaa ila tako huna tukunye maMmnh
Mitandaoni mtu anatakiwa kuwa na ngozi ngumu, ona sasa ulichoandika.Tatizo unakula sana mpaka ukamwagia chai yule jamaa punguza kula ona sasa umekua bongenyanya umefutuka balaa ila tako huna tukunye ma
Sawa wewe mvivu wa kula, lakini Kwa sababu ya kuwa "black woman" Mwamba anasema bado unatabia za uchoyo, Bora Tanesco wakate umeme vitu viharibike Kwa Fridge kuliko kuumpa jirani mwenye uhitaji. Pia ukiona anampa mama au ndugu zake pesa roho inakuuma utafikiri ulichangia chochote kwenye mafanikio yake. Akspend na washikaji zake hapo Sasa ndio rohoo inakuuumaaaa,🫣🤣🤣🤣🤣 Aisee
Yaan nilivyomvivu kula....imeniuma sana.
Gutu nafahamiana nae pisonal bdio maana bimemwambia hivo we vepeMitandaoni mtu anatakiwa kuwa na ngozi ngumu, ona sasa ulichoandika.
Wamama walio tuzaa hawapo hivyo,Naona unamuanika mama yako.
vp hawa wanawake wa kiarabu wa zanzibar ushawahi kujaribu kudate nao, nataka niishi naoMoja ya mambo huwa siyapendi kutoka Kwa wabantu black women ni uchoyo na roho mbaya na njaa ya chakula.
Mimi huwa naonaga black women walipewa maumbo mazuri Ila akili 0%
Mfano tangu nikae nao hawa black women ukimuhalika kwako akiona misosi anatoa macho Sana akiona umegawa chakula umewapa majirani anachukia na akiona umspend na marafiki siku nzima mkila na kunywa Kwa hela zako anaumia pia .
Ikiwa namshauri Kijana ajaribu kutafuta ngozi nyeupe akikosa kabisa ndo afikirie kuzaa au kuoa mbantu.
Mimi kikawaida huwa sina mazoea na Mwanamke wa kibantu kwakuwa najua hatuwezi kuendana maana Mimi ni MTU yule napenda kusaidia kila MTU .
Siwezi kuona majirani wanakosa chakula huku Mimi nimeweka stock ndani I can't do that shit
Stay away with black women
Hiki Kiingereza cha "stay away WITH black women" naona ni version konki kabisa, ada za wazazi hazikupotea bure.Moja ya mambo huwa siyapendi kutoka Kwa wabantu black women ni uchoyo na roho mbaya na njaa ya chakula.
Mimi huwa naonaga black women walipewa maumbo mazuri Ila akili 0%
Mfano tangu nikae nao hawa black women ukimuhalika kwako akiona misosi anatoa macho Sana akiona umegawa chakula umewapa majirani anachukia na akiona umspend na marafiki siku nzima mkila na kunywa Kwa hela zako anaumia pia .
Ikiwa namshauri Kijana ajaribu kutafuta ngozi nyeupe akikosa kabisa ndo afikirie kuzaa au kuoa mbantu.
Mimi kikawaida huwa sina mazoea na Mwanamke wa kibantu kwakuwa najua hatuwezi kuendana maana Mimi ni MTU yule napenda kusaidia kila MTU .
Siwezi kuona majirani wanakosa chakula huku Mimi nimeweka stock ndani I can't do that shit
Stay away with black women
Unadhani kufahamiana nae in person kunakufanya uwe na uhuru wa kum-attack? Anyway, labda mnajuana!Gutu nafahamiana nae pisonal bdio maana bimemwambia hivo we vepe
Thank you😆😆, I was busy scrolling searching for this comment."Stay away with black women" 🤣🤣🤣🤣