Wanawake wa kiafrika ni wazuri sana ila wana roho mbaya na wana ile njaa ya chakula hatari

Wanawake wa kiafrika ni wazuri sana ila wana roho mbaya na wana ile njaa ya chakula hatari

Not all Bantu Women are bad mkuu, kuna wanawake wengi tu wanaroho nzuri sana na ni watu smart sana legacy na malezi ya familia zilizowakuza sometimes zinawafanya kuwa na tabia za hovyo.

Nitoe mifano kadhaa ya smart and good ladies ambao nawajua kiasi chake hapa JF. Bantu Lady & Leejay49
Thanks Jchris14 Jamani, barikiwa sana sana. Merry Christmas 🥂
 
Not all Bantu Women are bad mkuu, kuna wanawake wengi tu wanaroho nzuri sana na ni watu smart sana legacy na malezi ya familia zilizowakuza sometimes zinawafanya kuwa na tabia za hovyo.

Nitoe mifano kadhaa ya smart and good ladies ambao nawajua kiasi chake hapa JF. Bantu Lady & Leejay49
Ooooh😍😍
 
Safari hii watakoma,hili nalo jipya limeongezwa,njaa kali...
 
Sasa kama wanapenda chakula si hakikisha chakula kimo ndani, tunakula ili tuishi mkuu,hilo la ubinafsi inategemea ntu na ntu
 
Moja ya mambo huwa siyapendi kutoka Kwa wabantu black women ni uchoyo na roho mbaya na njaa ya chakula.


Mimi huwa naonaga black women walipewa maumbo mazuri Ila akili 0%


Mfano tangu nikae nao hawa black women ukimuhalika kwako akiona misosi anatoa macho Sana akiona umegawa chakula umewapa majirani anachukia na akiona umspend na marafiki siku nzima mkila na kunywa Kwa hela zako anaumia pia .


Ikiwa namshauri Kijana ajaribu kutafuta ngozi nyeupe akikosa kabisa ndo afikirie kuzaa au kuoa mbantu.


Mimi kikawaida huwa sina mazoea na Mwanamke wa kibantu kwakuwa najua hatuwezi kuendana maana Mimi ni MTU yule napenda kusaidia kila MTU .

Siwezi kuona majirani wanakosa chakula huku Mimi nimeweka stock ndani I can't do that shit

Stay away with black women
Mwambaa
Una janamke lako huko lenye roho ya kimaskini na uchoyo plus wewe zamwamwa unakuja unageneralize wanawake wote wa kibantu blocks Wako hivo.pambana na Hilo dubwasha lako
Mwenyewe unaonekana una akili duni sana kumjaji mtu kisa chakula huyo mzungu wa kuishi nawe Kwa akili hizo atoke wapi?
 
Pia walafi wa mali ambazo hawajazitafuta. Ukiwa na mali nyingi ukaoa mwanamke mbongo, siku zote anawaza utakufa lini arithi zile mali yeye.
 
Mimi nimechukua hapo pa "stay away with black women", hapo tu!!

Hakuna watu selfish kama wazungu! Bora hata hawa wa kwetu wanaweza kuvumilia wewe kuleta lundo (rundo) la ndugu na kuwahudumia kwa moyo mweupe.
 
🤣🤣🤣🤣 Aisee
Yaan nilivyomvivu kula....imeniuma sana.
Sawa wewe mvivu wa kula, lakini Kwa sababu ya kuwa "black woman" Mwamba anasema bado unatabia za uchoyo, Bora Tanesco wakate umeme vitu viharibike Kwa Fridge kuliko kuumpa jirani mwenye uhitaji. Pia ukiona anampa mama au ndugu zake pesa roho inakuuma utafikiri ulichangia chochote kwenye mafanikio yake. Akspend na washikaji zake hapo Sasa ndio rohoo inakuuumaaaa,🫣
 
The fact you use the word skin color ''Black Woman'' denotes a certain bias and shows that brainwashing is working,
A person's character has nothing to do with his skin color or his races,

Tabia ya mtu ni matokeo ya malezi aliyoyapitia na mazingira aliyoishi katika makuzi yake.
 
Moja ya mambo huwa siyapendi kutoka Kwa wabantu black women ni uchoyo na roho mbaya na njaa ya chakula.


Mimi huwa naonaga black women walipewa maumbo mazuri Ila akili 0%


Mfano tangu nikae nao hawa black women ukimuhalika kwako akiona misosi anatoa macho Sana akiona umegawa chakula umewapa majirani anachukia na akiona umspend na marafiki siku nzima mkila na kunywa Kwa hela zako anaumia pia .


Ikiwa namshauri Kijana ajaribu kutafuta ngozi nyeupe akikosa kabisa ndo afikirie kuzaa au kuoa mbantu.


Mimi kikawaida huwa sina mazoea na Mwanamke wa kibantu kwakuwa najua hatuwezi kuendana maana Mimi ni MTU yule napenda kusaidia kila MTU .

Siwezi kuona majirani wanakosa chakula huku Mimi nimeweka stock ndani I can't do that shit

Stay away with black women
vp hawa wanawake wa kiarabu wa zanzibar ushawahi kujaribu kudate nao, nataka niishi nao
 
Moja ya mambo huwa siyapendi kutoka Kwa wabantu black women ni uchoyo na roho mbaya na njaa ya chakula.


Mimi huwa naonaga black women walipewa maumbo mazuri Ila akili 0%


Mfano tangu nikae nao hawa black women ukimuhalika kwako akiona misosi anatoa macho Sana akiona umegawa chakula umewapa majirani anachukia na akiona umspend na marafiki siku nzima mkila na kunywa Kwa hela zako anaumia pia .


Ikiwa namshauri Kijana ajaribu kutafuta ngozi nyeupe akikosa kabisa ndo afikirie kuzaa au kuoa mbantu.


Mimi kikawaida huwa sina mazoea na Mwanamke wa kibantu kwakuwa najua hatuwezi kuendana maana Mimi ni MTU yule napenda kusaidia kila MTU .

Siwezi kuona majirani wanakosa chakula huku Mimi nimeweka stock ndani I can't do that shit

Stay away with black women
Hiki Kiingereza cha "stay away WITH black women" naona ni version konki kabisa, ada za wazazi hazikupotea bure.
 
Back
Top Bottom