Wanawake wa zama hizi wakija maghetoni hawafanyi usafi

Tena yule dada baada ya huduma akaamua kutoa shuka n kutandika lingine kutokana n muda akashindwa kufua bado ni mmbaya tu huyo mtu wanaume mnaboa sanaaaa
Umeandika kwa hisia, pole sana dada ila endelea tu kutandika kitanda kila mkimaliza ka hakupi hela[emoji846]
 
MUACHE UCHAFU NYIE WANAUME........

UNARUNDIKA UCHAFU ILI MFANYIWE USAFI??????


MWANAUME ANAYESUBIRIA MSIVHANA WAJE AMFANYIE USAFI NI MCHAFU...MCHAFU....MCHAFU!!!!!!

ANYWAY...


Kaja kukufanyia usafi au kafata dudu???

Uchafu ndo asili ya mwanaume,
 
Hahahaa daah, ilikuwa mwaka gani huo mkuu.
 
Pale mimi ni nyumbani ukiwauliza wale wahudumu wote wananijua kwa jina la MJUBA wanazijua show zangu
Chinekeeeeeeeeeeee..... Haya bhn ukija niulizieeee nije nikufanyieee usafi kwakoooo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…