BICHWA KOMWE -
JF-Expert Member
- Jul 21, 2022
- 6,373
- 16,073
- Thread starter
-
- #21
Nimetaja Arusha strategically nikitarajia kombora litatua pale Njiro kwa Mama Kimaro. ππWas Arusha necessary?? Ungesema tu kuna huyu mdada, au kuna hii ndoa mke wake ni mwanasheria.
Why Arusha? Komwe lako..
Umri wako bado! Hata wetu wakati ule walifikiria hivyo. Lakini kadri ya wakukuomba k wakipungua, umuhimu wa mume unaonekana!Eeh sasa jitu hunilishi na hunivishi afu unipandishie koromea how dare you ππππππππ
Mwanaume akikulisha.na.kukuvisha basi tegemea.maajabu meengi, dharau, usaliti na mateso kibao kwasababu anajua huezi ishi bila yeye huna pakwenda heheheππππ
Thanks to our parents ππ
Na anakuwa na jeuri ya kwenda na kukurudia, maana ana uhakika atakukuta mrs. Available.Eeh sasa jitu hunilishi na hunivishi afu unipandishie koromea how dare you ππππππππ
Mwanaume akikulisha.na.kukuvisha basi tegemea.maajabu meengi, dharau, usaliti na mateso kibao kwasababu anajua huezi ishi bila yeye huna pakwenda heheheππππ
Thanks to our parents ππ
anajua huezi ishi bila yeye huna pakwenda hehehe[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
We jamaa!Mwanamke mwenye kazi, mshahara mnono, nyumba na gari, hawezi kumuheshimu mumewe vile inavopaswa.
Ndoa ni kama taasisi ya kitapeli ambayo mwanamke anaitumia kukidhi mahitaji yake. Kinyume na hapo, mwanamke hana haja na ndoa.
Kuna dada mmoja ni mwanasheria yupo Arusha, hawezi japo kumpikia chai mumewe. Muda wote yuko kazini, na akirudi hana muda.
Anajua mumewe ni kama kikaragosi ambacho hakimtishi kwa lolote.
Kwa mantiki hiyo, nihitimishe kwa kusema kwamba, unyenyekevu wa mwanamke katika ndoa ni danganya toto ili aweze kuendelea kupata mahitaji yake ikiwemo chakula na mavazi.
Akifanikiwa kuvipata hivyo bila usaidizi wako, atakunjua makucha yake rasmi akucharange kama shumileta.
Unyenyekevu ni utapeli. Hadaa ya kuchuma mali.
Mwanamke mwenye fedha ni mwanaume mwenzio. Ukimkoromea anakucharaza bakora.
MY TAKE: Wanawake wafukuzwe kazi.
Nyoooooooqo.Nimetaja Arusha strategically nikitarajia kombora litatua pale Njiro kwa Mama Kimaro. ππ
Mimi napenda mwanamke mwenye kipato na anayejiamini.Hapo sasa,, wanapendwa hawa kuombwa kila kitu. Ila wakija huku jf ndio wanatuona kausha damu
Hapo ni sawa! Aliyejuu msubiri chini. Umri ukifika hata kiwete ni mume wake. Tumeyaona, mwanamke bila mume uzeeni au mwanamume bila mke uzeeni ni majangaTunaishi nao kisaniisanii hivyohivyo ili sekunde zisonge mbele kufuata mvi.Usiumize kichwa kuwaza hitaji halisi la mwanamke utalala na gumboots za kuchungia punda.Kuna wakati unapaswa kuyaacha maisha yaende kwa kujifanyia auto-coursing tu ili mfike kispoti.
Kwa fikra hizi ndiyo maana mlpewa ukomo wa fikra.Hela huwafanya mkose upendo,utu,heshima na mizani maishani.Na ndiyo hapo huwa najiuliza ingekuwaje kama wanaume na wanawake wangeumbwa kwa uwezo na kuyachukulia mambo kuliko sawa!Ingekuwa rabsha.Eeh sasa jitu hunilishi na hunivishi afu unipandishie koromea how dare you ππππππππ
Mwanaume akikulisha.na.kukuvisha basi tegemea.maajabu meengi, dharau, usaliti na mateso kibao kwasababu anajua huezi ishi bila yeye huna pakwenda heheheππππ
Thanks to our parents ππ
Kwanini unahisi ni unyenyekevu wa uongo? Mtu tu asikupende kwa moyo wake wote na kukutii, we unaona ananyenyekea uongo kisa hizo elf20 zako?Mimi napenda mwanamke mwenye kipato na anayejiamini.
Lakini kama hana kipato basi asitumie unyenyekevu wa urongo ili kumtapeli Baba Kimaro.
Bora tu ufungue makucha hata kama huna kipato ili mbivu na mbichi zijulikane.
Makucha ni makali lakini nitavumilia kwa ajili ya mbususu.
Hapana aisee,Hapo sasa,, wanapendwa hawa kuombwa kila kitu. Ila wakija huku jf ndio wanatuona kausha damu
Eeh unajua ukisshakua mkubwa na wazazi kuchoka aau kustaafu uwezo wa kumuhudumia kijana wao unapunguaUsiwe na pa kwenda alikuokota juu ya mti!??
Usiishi bila yeye kwani unatumia oksijeni yake??
Pole sn mkuuMwanamke mwenye kazi, mshahara mnono, nyumba na gari, hawezi kumuheshimu mumewe vile inavopaswa.
Ndoa ni kama taasisi ya kitapeli ambayo mwanamke anaitumia kukidhi mahitaji yake. Kinyume na hapo, mwanamke hana haja na ndoa.
Kuna dada mmoja ni mwanasheria yupo Arusha, hawezi japo kumpikia chai mumewe. Muda wote yuko kazini, na akirudi hana muda.
Anajua mumewe ni kama kikaragosi ambacho hakimtishi kwa lolote.
Kwa mantiki hiyo, nihitimishe kwa kusema kwamba, unyenyekevu wa mwanamke katika ndoa ni danganya toto ili aweze kuendelea kupata mahitaji yake ikiwemo chakula na mavazi.
Akifanikiwa kuvipata hivyo bila usaidizi wako, atakunjua makucha yake rasmi akucharange kama shumileta.
Unyenyekevu ni utapeli. Hadaa ya kuchuma mali.
Mwanamke mwenye fedha ni mwanaume mwenzio. Ukimkoromea anakucharaza bakora.
MY TAKE: Wanawake wafukuzwe kazi.
Kumbe BICHWA KOMWE - ni dume aliye saliti chama ππ€£Leo umesimama kama mwanaume kamili sasa.
Nime kukumbuka rafikiπ€Eeh unajua ukisshakua mjubwa na wazazi kuchoka aau kustaafu uwezo wa kumuhudumia kijana wao unapungua
Sasa mwanamke kijana asipokua na ramani afu atokee Mwanaume anataka amueke ndani yupo radhi avumilie yote π maana mji umekua mgumu kwake
Unajua wengi wanaosema ndoa haina maana hasa wanawake, ni kuwa hawasemi ukweli! Wanasema kujifurahisha tu. Kila mwanamke isipokuwa sista wa kikatoliki anaota ndoa. Abishe mtu nimpe mifano haiMwanamke hakuumbwa kumiliki mwanamke aliumbwa kumilikiwa na kumilikiwa siyo anyanyaswe ni atunzwe apendeze apate utulivu wa nafsi,ni kusema pia mke anatakiwa awe mshauri wa mumewe.
Huyo anayefanya hivyo ikitokea mumewe amemuacha pamoja na kuwa na vyote hivyo baada ya kumaliza kazi zake akirudi home kuna kitu kitampungua na hatakipata kama hatakubali kuwa chini ya mwanaume.