Wanawake wasomi hawaolewi kwa sababu hizi...

Anza wewe mzee, hao watu ni pasua kichwa...
 
Mbona me mwenyewe wa hizo 88
 
Ni ukweli usiopingika kwamba mwanamke msomi automatically huwa na maseke ya hapa na pale!!nahisi mwanamke akisoma huwa kuna mdudu fulani kichwani huamka!!!
 
Huyu nae ka mwehu ss ndio nn hizo na nyie bebeni mimba😂😂😂😂
 
Eti Uchagani napaskia tu.. bwana bwana. Unafeli kuassume ivo...

Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli boss, mchaga wa mgombani hawezi zungumzia nyama well done sijui nini....hamna hiyo kitu na bado haijatokea.

Wewe kama ni mchaga, ndo wale wenye uraia pacha, mnaenda KLM kwaajili ya Kili marathon tu.

Mbuzi anayekatiwa majani ndani, adondoshwe mgombani na wanaume 7 halafu ulete habari za well done, kweli?

Mzee wa kichaga kakaa pale anakuangalia na hiyo well done?

Unazungumzia wapi mkuu, nyama choma?
 
Huyu nae ka mwehu ss ndio nn hizo na nyie bebeni mimba[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kwa nilivolewa yy kamaanisha ichoicho unachomaanisha ww; wanaume kuna vitu wanaweza kuliko wanaume na wanawake kuna vitu wanaweza kuliko wanaume. Ivo hatuko sawa na hatuwezi kua sawa... haimaanishi kua mmoja ni zaid ya mwenzie

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mwanamke niwakuchapa makofu tuu.hakuna chamsomi Wala nani.kwanza elimu zenyewe wamepata kwa kuhonga kumazao😅sasa nitaacha kuwalamba makofi wasipo kuwa na nidhamu mbele yangu?
 
Nani kasema anapenda well done? Hio well done ni ya wale washamba wa nyama choma, wasiojua kuchoma nyama...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
We bidada hatukuonei huruma hata ukitaja miaka yako ya kuzaliwa, wewe endelea na u-beijing wako.
Akili huna pesa huna
Low life low brain 🧠
Katafute hela wasikupakue wenzio...
Naona una obsession ...
Njoo nikuajiri upunguze stress mjini hapa paka wewe. Uliza wenzio wanaonijua wakwambie.
Nikikuquote tena uniite mbwa nimekaa pale.
 
Low life low brain 🧠
Katafute hela wasikupakue wenzio...
Naona una obsession ...
Njoo nikuajiri upunguze stress mjini hapa paka wewe. Uliza wenzio wanaonijua wakwambie.
Nikikuquote tena uniite mbwa nimekaa pale.
Nimepiga kwenye mshono,
Unalilia ndoa wanawake wenye akili wameshaolewa.
Ulisema hutani-quote imekuwaje bidada!?
88 mpaka leo miaka zaidi ya thelathini na tano nani akuoe.
Nashukuru wanaume wenzangu walikushtukia sasa endelea kuonja joto ya jiwe na u-beijing wako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…