Wanawake wasomi hawaolewi kwa sababu hizi...

Wanawake wasomi hawaolewi kwa sababu hizi...

Sababu ya 4 umeitoa kwa hasira sana, sidhani kama mwanamke msomi ndio muasherati....

Gender Equality imekua mkombozi mkubwa kwa Mwanamke na Mtoto wa Kike ukilinganisha na karne za nyuma ambazo zilikua zinamdharau Mwanamke na kumuweka daraja la chini kabisa...

Si kweli kua Mwanamke msomi haolewi ila ni vijana ambao wana inferiority Complex na Insecurity walioathiriwa na mfumo dume katika familia na jamii zao ndio hawawezi kuwaoa Wanawake wasomi.
Anza wewe mzee, hao watu ni pasua kichwa...
 
Dawa ni kuowa wanawake wenye elimu ile ya kujua mambo machache tu,wewe mume take responsibility ya mambo yote ktk familia kisha uwezo ukiwepo mpe sasa mkeo jukumu la kufanya.

Hawa wa sasa wengi ni wa 1988 to 2000s ambao wakati tamko la Beijing linatoka walikulia humo na wamekuwa wakiaminishwa ndiyo salama kwao so wote ni wanaharakati cha kufanya sisi tunaozaa watoto leo tuandae future yao ya baadae ikiwa ni pamoja na kuwasomesha pia kuwaelewesha watoto zetu wa kike kwamba mwanamke ni mwanamke mwanaume ni mwanaume hakuna siku watafanana na wanaume.
Mbona me mwenyewe wa hizo 88
 
Ni ukweli usiopingika kwamba mwanamke msomi automatically huwa na maseke ya hapa na pale!!nahisi mwanamke akisoma huwa kuna mdudu fulani kichwani huamka!!!
 
Hakuna usawa wa mwanamke vs mwanamume..
Mwanamume ni mwanamume na mwanamke ni mwanamke.

Usawa kwenda mambo rahisi rahisi tu, yakishakuwa magumu utasikia wanatafutwa wanaume..

Waanze basi nao kuchimba makaburi, waanze basi nao kushuka makaburini kupokea miili au kushika kamba kushusha majeneza.
Waaze basi nao kuwa wavuvi wa samaki deep sea huko na mitumbwi au ngalawa zao, waanze basi nao kuwa mabaharia dip sea kwenye mitemba tuone meli ikiwa na akinamama tupu imebeba contena, waanze basi kwenda vitani walishika bunduki na mizinga, Waanze basi kubeba mizigo masokoni na mashambani, waanze basi kuingia migodini chini huko na kurun operations..... Maumbile ya mwanamke ni yamwanamke tu...
Huyu nae ka mwehu ss ndio nn hizo na nyie bebeni mimba😂😂😂😂
 
Eti Uchagani napaskia tu.. bwana bwana. Unafeli kuassume ivo...

Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli boss, mchaga wa mgombani hawezi zungumzia nyama well done sijui nini....hamna hiyo kitu na bado haijatokea.

Wewe kama ni mchaga, ndo wale wenye uraia pacha, mnaenda KLM kwaajili ya Kili marathon tu.

Mbuzi anayekatiwa majani ndani, adondoshwe mgombani na wanaume 7 halafu ulete habari za well done, kweli?

Mzee wa kichaga kakaa pale anakuangalia na hiyo well done?

Unazungumzia wapi mkuu, nyama choma?
 
Huyu nae ka mwehu ss ndio nn hizo na nyie bebeni mimba[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kwa nilivolewa yy kamaanisha ichoicho unachomaanisha ww; wanaume kuna vitu wanaweza kuliko wanaume na wanawake kuna vitu wanaweza kuliko wanaume. Ivo hatuko sawa na hatuwezi kua sawa... haimaanishi kua mmoja ni zaid ya mwenzie

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mwanamke niwakuchapa makofu tuu.hakuna chamsomi Wala nani.kwanza elimu zenyewe wamepata kwa kuhonga kumazao😅sasa nitaacha kuwalamba makofi wasipo kuwa na nidhamu mbele yangu?
 
Kweli boss, mchaga wa mgombani hawezi zungumzia nyama well done sijui nini....hamna hiyo kitu na bado haijatokea.

Wewe kama ni mchaga, ndo wale wenye uraia pacha, mnaenda KLM kwaajili ya Kili marathon tu.

Mbuzi anayekatiwa majani ndani, adondoshwe mgombani na wanaume 7 halafu ulete habari za well done, kweli?

Mzee wa kichaga kakaa pale anakuangalia na hiyo well done?

Unazungumzia wapi mkuu, nyama choma?
Nani kasema anapenda well done? Hio well done ni ya wale washamba wa nyama choma, wasiojua kuchoma nyama...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
We bidada hatukuonei huruma hata ukitaja miaka yako ya kuzaliwa, wewe endelea na u-beijing wako.
Akili huna pesa huna
Low life low brain 🧠
Katafute hela wasikupakue wenzio...
Naona una obsession ...
Njoo nikuajiri upunguze stress mjini hapa paka wewe. Uliza wenzio wanaonijua wakwambie.
Nikikuquote tena uniite mbwa nimekaa pale.
 
Unaonekana utakua umeolewa hauwezi ukampamba mkeo eti amesoma Ila sio feminist nani kakwambia? Subiri subiri siku zisogee uje utuambie idadi ya watoto ambao sio wa kwako
🤣🤣🤣 Wanaume wa siku hizi mnaogopa sana Wanawake, ule Uanaume umewaisha mmekua laini laini sana mnaogopa hadi Mende
 
Low life low brain 🧠
Katafute hela wasikupakue wenzio...
Naona una obsession ...
Njoo nikuajiri upunguze stress mjini hapa paka wewe. Uliza wenzio wanaonijua wakwambie.
Nikikuquote tena uniite mbwa nimekaa pale.
Nimepiga kwenye mshono,
Unalilia ndoa wanawake wenye akili wameshaolewa.
Ulisema hutani-quote imekuwaje bidada!?
88 mpaka leo miaka zaidi ya thelathini na tano nani akuoe.
Nashukuru wanaume wenzangu walikushtukia sasa endelea kuonja joto ya jiwe na u-beijing wako
 
Back
Top Bottom