Wanawake wengi siku hizi hawana akili. Pima akili yake kabla hujadate/zaa naye

Wanawake wengi siku hizi hawana akili. Pima akili yake kabla hujadate/zaa naye

Chizi Maarifa

JF-Expert Member
Joined
Jul 29, 2013
Posts
10,931
Reaction score
24,816
Bwana mdogo analalamika kuwa mke wake ni mpumbavu sana. Wakipishana kidogo anaenda Mpost Instagram anaomba ushauri. Au anaanza kuandika status za ajabu ajabu...

"Ama kweli nimeamini ndoa ndoano, mungu nisaidie mimi mja wako"

"Hivi jamani hapa kweli nina mume?anarudi saa 4 usiku eti alikuwa kazini. Kazini hiyo kwiyooo?ananiona fala sana"

" We mungu weweeee nimekukosea nini mimi jamani nq uzuri wangu huu"

"Ukiona cha nini wenzio wanasema nitakipata lini"


Jamaa anasema mke wake hana akili kabisa. Na anajuta kuoa mke wa hovyo hivyo. Nikakumbuka kuna wadada pia wakigombana na wenzi wao wanakuja kuanzisha uzi huku.

"We mbwa rudisha mtoto wangu...hunijui eeeh"

" Baba siwajui kaondoka na kuniachia uja uzito nifanyeje"

" Jamani nimechanganyikiwa kaondoka na mtoto wangu bila taarifa"


Unajua tu hapa mke au mate wangu Dish limeyumba. Kuna mambo ya kushare na kuna mambo mnamalizana humo humo. Tabia za kutushirikisha kila jambo ila wakati mnagegedana hamkutushirikisha si sahihi.

Andikeni nyuzi kuwa

" Kesho naenda kugegedwa karibuni wajameni nanyi mpate kitu angalau kidogo"


" Nimepta demu mkali mwenye muda kesho saa 4 aje kisamvu guest house"
 
Akiwa na tackle flan hv la wastani,rangi flani hv amaizing anatosha sana kwa matumizi ya mda mrefu
Au hata akiwa mbaya kikubwa anakikojoleo kwa matumizi ya mda mfupi pia anafaa
AKILI TUTATUMIA ZANGU!!!
 
Bora afanye hvyo mtoto wa watu kuliko anywe sumu afe..........punguzeni madharau na maugomvi kwa wake zenu.........vichwa vyenu vidogo vya chini........vinawaendesha sana wanaume.

AHSANTENI.
 
Nyingine software Zina haribikia Kati Kati ya mission.
FB_IMG_16735423366274092.jpg
 
Tunaomba radhi kwa wote watakaokwazika mwandishi ni mmoja wa wagonjwa wetu katika hospital yetu ya crazy for life.

Ndugu Chizi Maarifa, alifanikiwa kutoroka jana na kuiba simu ya ofisi na Sasa anaropoka hovyo tu.

Tunashukuru kwa ushirikiano wenu na tunaahidi tutalishughulikia hivyo mvumilieni.

Ninaambatanisha ushahidi wa vyeti alivyovipata kutoka hospital yetu
FB_IMG_16664248584906725.jpg
 
Kama hawana akili muhimu kujinza kuishi nao hivyo hivyo usiwaingize tu kwenye laini YAKO ya maisha utapotea.
Ishi kama hauishi nao
 
Back
Top Bottom