Wanawake wengi wanaofanikiwa Kupata ndoa ni wale Wanaokabia Juu

Hii ya 28. Itafutie nafasi huko juu mkuu
 
samahani mkuu ila nakumbuka uli wahi nipa onyo, mimi na wewe mmoja wetu asi wahi quote comment ya mwenzie daima.

Ila kwa vile mimi ni samaki shujaa, basi haina kwere. More love less ego.
I Mean no malice to nobody.
Ni kweli kabisa ni kwa sababu ulikuwa na mambo ya ukiwaki sana.au ungependa tuendeleze onyo pale tulipoishia?
😊
 
Huu ni ujumbe sahihi kwa watu wasio sahihi.

Kwa hawa malaya wanaotamani kupita na kila mshedede naona mnapigia mbuzi gitaa.
 
Ushamba wake una madhara,singo maza wameanza kupiga kelele kuwa wanataka waolewe kama alivyooa yule fala.Pia tatizo jingine ni kuwa tunawekwa kwenye kundi moja la mafala.
Azizi ki akamatwe acharazwe viboko katufedhehesha sana sisi chama kubwa KATAA NDOA,KATAA MASINGO MAZA.
 
Eti ya KUKABIA JUU
πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
πŸ“ŒπŸ“ŒπŸ“ŒKataa ndoa,kataa masingo maza ulinde uchumi wako na afya yako ya akili!!
 
Ila mbinu ya KuPAKI BASI sio nzuri hata kidogo, siwashauri wanawake watumie hii mbinu kwa sababu success rate yake ni ndogo Sana.

Hata kule uwanjani timu zinazopaki basi mara nyingi huwa zinadundwa Tu πŸ˜‚
 
Wengi wanatumia nguvu za Giza kwa sababu ya ushindani thus ndoa hazidumu baada ya hizo nguvu kuisha mwanaume upambazuka
 
Kwhy mkuu umeamua kuwapa na mifumo kabisa ni either UPAKI BASI au UKABIE JUU πŸ˜‚
 
Ila mbinu ya KuPAKI BASI sio nzuri hata kidogo, siwashauri wanawake watumie hii mbinu kwa sababu success rate yake ni ndogo Sana.

Hata kule uwanjani timu zinazopaki basi mara nyingi huwa zinadundwa Tu πŸ˜‚
sio ndio inakaribisha mashambulizi kutoka timu pinzani kuwa mengi hatimae kuzaa matunda mapema japo timu inayopaki basi inatakiwa iwe na sura nzuri na umbo pia
 
Sio Kila Mwanaume Ana Sifa Za Kuoa Na Sio Kila Mwanamke Anastahiri Kuolewa.

Na Ndio Maana Azz Ki Ameoa Mwanamke Asiyestahiri Kuolewa Ni Kwa Sababu Yeye Hastahiri Kuoa.
Kwa Hiyo Mbinu Zote Hizo Mbili Itategemea Kuna Watu Huu Ni Mwaka Wa Arobaini Hawajaoana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…