Wanawake wenye makalio makubwa hawana heshima

Inaonekana mwenye shida ni wewe unawashobokea sana shobo zikizidi nazo ni mbaya unageuka kuwa kero, mtu ambae hataki stori na wewe utamjua tu kupitia hata salamu,ukimsalimia jinsi atakavyo kujibu utagundua huyu mtu ana dharau na hahitaji stori na Mimi au ni mtu muungwana naweza kuongea nae zaidi.

Sasa inaonekana we unapenda kulazimisha mazoea, mimi demu awe mzuri hata Kama malaika nikimsalimia na nikaona jinsi anavyojibu Salam yangu ni kwa nyodo sihitaji stori nae
sana Sana ntaendelea kumsalimia na kumpotezea sitahitaji kuskia hata jibu la Salam niliyompa.
 
Yana msaada gani mkuu hayo makalio?

Ningependa nipate elimu hiyo ya umuhimu ili niondoke kwenye ujinga.
Muulize mtoa mada πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€

Me nimejibu kutokana na andiko lake
 
Tatizo ni wewe
 
Huna haja ya kulipiza baya kwa baya. Just be nice to everyone, huyo dada mtakuja kuwa marafiki wenda yeye moyoni hana kinyongo kama chako. Ndo maana alikuuliza ulikuwa wapi wiki mzima? In short alikumiss.
Hapana, alitaka kuulizia kiele kifurushi nikamuwahi
 
Asante kwa kumkomesha namna hiyo mwanawane
 
Mwanamke akishakuwa na matako makubwa akili zinahamia kutoka kwa ubongo kwenda kwenye matako ndio maana unakuta saa yote anayabinubinua na hata kuyafuta na toilet paper hawezi yanabaki huku kwa matakore ,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…