Hii reply kaisoma huku kashika tama huko alipo huku anajiuliza God when
Ndoa tamu bwana asikwambie mtu. Hawa wanaoleta magazijuto kuhusu ndoa ni mawakala wa shetani wametumwa kuja kuichafua.
Ingekuwa ndoa ni tatizo na haina umuhimu watu wasingeichangia mamilioni ifungwe, watu wasingetumia nguvu ya damu na jasho kuitafuta.
Umesahau ile misa ya merehemu mama Lwakatale ya upepo wa kisulisuli. Palijaaa pale ndani na sampuli ni hizi hizi za miaka 35 kwenda juu.
Mtu analeta story za ndoa sijui vipigo, manyanyaso na kadhalika. Hivi kuna mwanaume ambaye mkewe ni mnyenyekevu, anamsaidia katika ujenzi wa maisha anakusapoti katika harakati zako na kuwa number fan wako, hana time na story za kuvumilia bali anasimama na wewe kwa ugwadu wa kukuona unatoboa sio kwa haraka za yeye kupata Maisha mazuri, mwanamke hakupandishii sauti hata umkere kwa lipi cha zaidi atakuonyesha sura ya kukwazwa na kukosa furaha na amani ili ujiongeze kuongea nae, mwanamke anashika maagizo ya MUNGU na anaiheshimu ndoa yake kuliko chochote, kuliko mashosti zake, kuliko vicoba, kuliko mambo mengine yasiyo na umuhimu. Mwanaume anaanzaje kumpiga au kuwa na manyanyaso na mwanamke wa hivi?
Wanajitisha sababu company zao ni mabinti wenzao ambao wanatoka familia zisizo na maadili ya ndoa, mabinti wasio na maadili, hawa ndio wakikaa kazi kujazana ujinga na upumbavu kuwa Ndoa ni jambo hatari ila kulalwa na wanaume hovyo, kutembea na wanaume za watu, kuapta watoto nje ya Ndoa, kuishi kikenge hiyo ni baraka kwa mwanamke [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hawa ni kusukuma ndani...... Wacha wakasirike ila sisi ndio kizazi cha wanaume cha mwisho tutakaozungumza nao. Tunataka watoto wetu wa kiume kizazi kijacho wajue standards za wanawake wa kuanza nao maisha ili taifa letu liwe mfano wa kuigwa. Na mbegu ya ustawi wa jamii ya mwafrika.
Hawa wanawake wanaokuwa na maamuzi yao binafsi tokea umri wa 19 hadi 35 halafu wakishafika above 35+ wanaanza kuleta tuvisingizio twa 'Karume Kenge' na 'Elfu lela ulela' mara sihitahi ndoa mara sijui ni sawa kuishi bila ndoa , mara ndoa ni manyanyaso, WEWE God damnit, lini umeijua NDOA na umekaa maisha yako ya ujana unaruka na kila aliyependeza macho yako, uliacha maadili unakuja kujiweka kundi moja na wanawake ambao hawana mume sababu ya kufiwa, kusalitiwa na kutekekezwa, au kuwa na changamoto za kiakili.
Wewe kundi lako ni hawa manunga yembe wale ambao kwa makusudi walichagua kucheza na miili yao na proposal za ndoa kila uchao ziliwagongea hodi, wanaume walifunga break za magari kwenye vituo vya daladala kukuongelesha, walikulipia nauli kwenye daladala jambo ujibu salamu yao.
Ukachagua kuringa na kutojibu salamu sababu ya kiburi ila umri ulipokwenda kidogo ukaanza kuruka na kila aliyekuja mbele yako kwa kuchagua wenye pesa sababu ulikuwa na tamaa ya kufanikiwa kwa short cut maana hauna muda tena wa kujenga maisha na mwanaume sababu muda umeenda unaona usipoteze zaidi. Sasa tumefika umri wa mavuno ya tabia yako ya miaka 10 ya udangaji, umachepele, kutojilewa na maringo, tunakuuliza unasema tunakukosea adabu au unasemwa vibaya.
Hapana hakuna huruma. Watajibu hili swali, unaolewa lini?!
Sent using
Jamii Forums mobile app