Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Astaghifilullah!Sa si Ndio!!kwani kudindisha ni dhambi asee Haswa Kwa Mtoto wa kiume??###NyokoMbiliwewe###
Asante ushauri kiongozi1. Beba mimba hiyo hali itaisha hasa ukishajifungua.
2. Kapime Ovary cyst Wakati mwingine inawezakuwa sababu.
3 inaweza kuwa ni chango. Tafuta dawa za chango.
Hii inapelekea Homoni imbalance, gesi ambayo ni sehemu ya sababu zinachochea maumivu kama yako hasa nyakati ukiwa mwezini
Angalizo: Usitoe Mimba yoyote ile, pia usitumie uzazi wa mpango kama bado huna moto.
Jitahidi utafute mtoto mapema kwa sababu Watu wa aina yako mimba huwaga zinasumbua, aidha kwa kutoingia kirahisi na zingine zikiingia zinatoka au kutishia kutoka.
Mwisho, Muone Daktari hasa specialist wa magonjwa ya uzazi kwa kinamama.
π π π πNaunga mkono hoja namba 1.π€£
Surat Yaseen!!Astaghifilullah!
Kunamtu alitaka kunipa juzi hapa Kabisa unapona lakini ucheze vizuri nikaona kheπππWee usiniambie πππ₯
Isomwe kwa utulivu, Inshallah!Surat Yaseen!!
Nimetumia ibrufen, nimetumia diclopar MR, erythromycin piaPain killers gani na gani umetumia?
Mana hata mie ni mdau wa maumivu kila mwezi...mie maumivu ni tumbo,chuchu,kiuno na huwa yanaambatana na diarrhea
Pole,nilidhani ni mimba
Prednisolone hazihusiani na unachopitiaNgoja niagize, pharmacy sio mbali sana...Asante ππ
inaonekana hata kitoto cha kike cha miaka mitano kikikatisha mbele yako unadindisha.kwani kudindisha ni dhambi asee
Zote hizo?Bado majani ya mpera tu.Natania.πππNimetumia ibrufen, nimetumia diclopar MR, erythromycin pia
Asante ushauri kiongozi
Unaweza ukawaona Hadi malaika ππYani we acha tu π₯π
aweke tafsida kwenye bandiko juu kule, mie hali teteAu unaonaje ndugu?
Leejay49 abebe mimba ,hatupendi wanawake wasumbuke hiviπ€£
Asante sanaππPia usipende kutumia madawa hovyohovyo hasa hizo painkillers.
Nende hospitalini ukapime wataalamu wajue nini sababu ya wewe kuwa hivyo.
Mmesoma ili mfanye mambo Kisomi, sio mfanye kienyeji enyeji kama majinga