Wanawake wenzangu mnazoeaje maumivu haya ya tumbo?

Status
Not open for further replies.
Kama umewahi kumtenda mwanaume katika maisha yako amini nakuambia tafuta namna yyt ya kupata suluhu naye. Mama yangu mdogo alipatwa na hali kama hii uliyoelezea alihangaika mno! Kumbe kuna jamaa kafanya mambo yake.

Nilikuwa-ga mbishi mno kwenye mambo ya kuamini kuwa ushirikina upo, ohoooooo!! Dunia ina mambo mengi
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ