Wanawake wenzangu mnazoeaje maumivu haya ya tumbo?

Status
Not open for further replies.
Pole sana dear, nadhani wanawake pekee tunayoyapitia hayo ndiyo tunakuelewa zaidi, unaweza umwa mpaka ukaulaani ukoo wa shetani na wajukuu wake wote,

Halafu ninyi kina Babu Fyee na wenzio ambao mtu anaelezea ugonjwa ninyi mnadindisha ovyo ovyo kama jogoo, mngekuwa madaktari wa magonjwa ya wanawake mngefanyaje majukumu yenu..??
 
Niliwahi kuskia uzile wa kuchemsha ni mzuri kwa tumbo la P. Ila pia tumia panadol special za P zile kubwa unawekaga kwenye maji zinachemka kama dawa za gesi. Sijui sasa kama TZ zipo zile. Hivi juzijuzi nilimskia mtu anasema toothpaste za forever living pia nzuri unaweka kdg kwenye maji unachanganya then unakunywa. Jarib ivo na Mungu Atakusaidia, pole sn
 
KwambaπŸ˜³πŸ˜³πŸ˜³πŸ€”
 
Kienyeji nakushauri, kama kuna mwanamke wa kihaya mtu mzima jirani yako, muone akumalizie matatizo yako.

Inaweza kuwa UTI tu inakusumbuwa au kingine chochote. Wanawake (watu wazima) wa kihaya ni mabingwa kwa mambo hayo.
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ™Œ
 
Asante kwa ushauri mzuri kiongozi πŸ™πŸ™
 
Asante kwa ushauri mzuri kiongozi
 
Polee dear
Tumia dawa ya (Complete phyto-energizer) supplements

Au kila unapo maliza P tumia karafuu, chemsha kunywa for 7 days asubuhi kabla haujala chochote

Kuna watu wamefanya hivyo wakapona wengine haikuwasaidia.
Asante sana kipenzi
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…