Wanawake wetu Tanzania hawana sauti nzuri

Makubwa acha tukae kimya tuwe tunatikisa vichwa tu kama ngedere
 
Huogopi siku kichaa kikimuanza katikati ya shughuli ukute kakunyofoa kissme? 🤣🤣🤣
Baba K kasafiri akirudi nakagua miguu, siwezi kuishi Kwa wasiwasi Mimi🤣🤣🤣🤣
Kwa kuwa kwa sasa haoneshi dalili yoyote acha Nimpende jinsi alivyo uzuri na mimi nina uvungu kwa hiyo siku hiyo itakuwa mtafutano 😁😁😁
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…