Countrywide
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 20,694
- 32,527
Usiondoke bado hujasema😂Nalog out🤣🤣🤣🤣
Wallahi nimechekaa🤣🤣🤣🤣🤣Kwa kuwa kwa sasa haoneshi dalili yoyote acha Nimpende jinsi alivyo uzuri na mimi nina uvungu kwa hiyo siku hiyo itakuwa mtafutano 😁😁😁
Hadi niseme Leo🤣🤣🤣🤣Usiondoke bado hujasema😂
🤣🤣🤣Jamani sio Mimi🤣🤣
😁😁😁Wallahi nimechekaa🤣🤣🤣🤣🤣
Crazy Baby 😆😆😆
Pateni usingizi wa kutosha, mle mboga na matunda kwa wingi.Wacha wee bibi 😂😂
Basi tunaacha ulevi ili tuwe na sauti nyororo
Kantri anazingua, siku hizi kajua kunibananisha🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Kantri anakufananisha na mama ake mdogo wa mkewe eti!!!
Kweli una ciroc pembeni, Siri zinaanza kutoka 🤣🤣🤣Ikichomoka alafu kurudishia inachukuaa muda😂
Ukiwa hujaridhika na speed😂
Umeacha leo? Jana tu pilau ulikua unashushia na kitu ya autumn😂😂😂Nimeacha ss hivi 🤣🤣🤣
Sawa bibi tumesikia, tutayafanyia kazi 😜Pateni usingizi wa kutosha, mle mboga na matunda kwa wingi.
Asubuhi kabla hujala kitu unaanza na matunda laini laini, kama avocado, mapapai, matango kidogo, vipande vya nazi, fresh orange juice. Fanya hiyo ndiyo chakula yako ya kufunguwa kinywa.
Pombe siyo ustaarabu ni ushenzi.
Una maisha marefu sana😂Kantri anazingua, siku hizi kajua kunibananisha🤣🤣🤣🤣
Mkuu ukizaliwa na sauti nzito ukitumia ushauri wako sauti inaweza kuwa nzuri.Pateni usingizi wa kutosha, mle mboga na matunda kwa wingi.
Asubuhi kabla hujala kitu unaanza na matunda laini laini, kama avocado, mapapai, matango kidogo, vipande vya nazi, fresh orange juice. Fanya hiyo ndiyo chakula yako ya kufunguwa kinywa.
Pombe siyo ustaarabu ni ushenzi.
🤣🤣🤣Kantri anazingua, siku hizi kajua kunibananisha🤣🤣🤣🤣
🤣🤣🤣Umeacha leo? Jana tu pilau ulikua unashushia na kitu ya autumn😂😂😂
Eti una sauti kali kama radi...Una yako !!!
Ngoja aseme ni yeye, sijui sura utaificha wapi? 🤣🤣🤣Usiondoke bado hujasema😂